Bacyclerbacy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,744
- 3,020
Ni Jambo zuri sana mkuuMpaka sahv sijamquote mtu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Jambo zuri sana mkuuMpaka sahv sijamquote mtu...
kwelii huu ndio uchawi bila tunguriMambo yasiwe mengi sana basi
Mtajua hamjui[emoji850]
Hata me nashangaa[emoji849]kwelii huu ndio uchawi bila tunguri
😒Ndio!?
Mkuu we ni mchawi imladi tu nikose vocha yaani dah!?😥😅
Sio wew umquote mtu mkuu bali mtu akuqoute, yan uandike alf mtu asireply kabisaaaMpaka sahv sijamquote mtu...
😅😅Mkuu we ni mchawi imladi tu nikose vocha yaani dah!?😥😅
IpiiYangu hii
Sabaya
Ipii
[emoji28][emoji28]
Jamani hebu mpumzike Ni mapema mnoo mnatupigia kelele[emoji3061]Sio wew umquote mtu mkuu bali mtu akuqoute, yan uandike alf mtu asireply kabisaaa
Acha usengeSio wew umquote mtu mkuu bali mtu akuqoute, yan uandike alf mtu asireply kabisaaa
Utakula ban mkuuAcha usenge
AmenNa nitaamka sana tena mwenye afya tele. In the name of Jesus Aamen [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Ukinizingua nakuzingua,in chalamila voiceAmen
Toka ndani ya moyo wangu nakuombea ndugu yangu, bila ya Shaka itakua sawa na tarajio lako.Atakayenipigia maombi nikiitwa tu kwenye interview namtumia 50K sitanii.
Deadline ni 15th so baada ya hapo pengine wiki mbili mbele ndiyo wataanza toa majina. Usije pm niquote tu hapa hapa sema nakuombea. Nikiitwa interview mwenyewe nitakufuata PM.
aisee
Hivi bado mnawania tu! Hii vocha naichukua..[emoji23]
Toka ndani ya moyo wangu nakuombea ndugu yangu, bila ya Shaka itakua sawa na tarajio lako.
Lakini ikiwa kinyume chake usijali maana sisi ni watu tu, na Mungu ndie mwenye kuwa na ujuzi mwingi.
Ukinizingua nakuzingua,in chalamila voice
Utakula ban mkuu
10:18Acha usenge