Challenge: Vocha ya 10,000 kwa mwenye reply/comment itakayokosa kujibiwa

Challenge: Vocha ya 10,000 kwa mwenye reply/comment itakayokosa kujibiwa

Atakayenipigia maombi nikiitwa tu kwenye interview namtumia 50K sitanii.

Deadline ni 15th so baada ya hapo pengine wiki mbili mbele ndiyo wataanza toa majina. Usije pm niquote tu hapa hapa sema nakuombea. Nikiitwa interview mwenyewe nitakufuata PM.
Toka ndani ya moyo wangu nakuombea ndugu yangu, bila ya Shaka itakua sawa na tarajio lako.

Lakini ikiwa kinyume chake usijali maana sisi ni watu tu, na Mungu ndie mwenye kuwa na ujuzi mwingi.
 
Hivi bado mnawania tu! Hii vocha naichukua..😂
 
Hivi bado mnawania tu! Hii vocha naichukua..[emoji23]
Toka ndani ya moyo wangu nakuombea ndugu yangu, bila ya Shaka itakua sawa na tarajio lako.

Lakini ikiwa kinyume chake usijali maana sisi ni watu tu, na Mungu ndie mwenye kuwa na ujuzi mwingi.
Ukinizingua nakuzingua,in chalamila voice
Utakula ban mkuu
Acha usenge
10:18
 
Leo nzima tupige kimya tuwwkumbuke marehemu wetu wote humu JF

Ndo numefunga mada.
Kesho tuanze kupost tena.
 
Back
Top Bottom