cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Hilo nalo neno, ukute kapata mtu hapa na kamshawishi aage hapamfai tena. teh teh teh.
huyo mtu anaogopa kama yeye kampata hapa, wasije wengine wakaparamia mali yake. :tongue:
jamani lakini kibab cha challenge D mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kina stahili sifa maana sijui kilikua kinatumia maneno gani hadi kikafanikiwa kupata date na husninyo,vijana fanyeni mkijue hichi kibabu kiwafundishe mbinu kinaonesha kina utaalamu fulani wa kipekee.
Usiwe na wasiwasi. Jamaa akimtupa atarudi tuu JF tena kwa ID ile ile.
JF duara. Mapenzi mshumaa.
Kipipi nashindwa kuzielewa hisia zangu juu ya kibabu,kwanza sijafurahia kilivyosababisha husninyo kuondoka,pili nahisi kina manufaa fulani kwa vijana wetu si unaona jinsi vijana wanavyokuja na thread za kuomba wapewe mbinu za kushawishi wasichana tena ambao wanaonana face to face huko mitaani lakini kibabu kimeweza kumtoa husninyo wetu kwa Pm tu hadi pale husninyo alipoona huu umri umezidi sana ndo mambo yakamharibikia kibabu.Ila pia kinajiamini eti pamoja na kujionesha kuwa ni kizee bado kinataka ku-DO jamani huyu babu kwa kweli kashindikana.hahahah we hicho kibabu kimekufurahisha sana eeeh?? Lol!
Kuna na hicho kibabu kilichokutana na Husninyo unless awe ni kati ya hao wawili.
Tuwasubiri waje kukanusha wenyewe. lol
Kipipi nashindwa kuzielewa hisia zangu juu ya kibabu,kwanza sijafurahia kilivyosababisha husninyo kuondoka,pili nahisi kina manufaa fulani kwa vijana wetu si unaona jinsi vijana wanavyokuja na thread za kuomba wapewe mbinu za kushawishi wasichana tena ambao wanaonana face to face huko mitaani lakini kibabu kimeweza kumtoa husninyo wetu kwa Pm tu hadi pale husninyo alipoona huu umri umezidi sana ndo mambo yakamharibikia kibabu.Ila pia kinajiamini eti pamoja na kujionesha kuwa ni kizee bado kinataka ku-DO jamani huyu babu kwa kweli kashindikana.
Mie sina wasi wasi, ingekua ni ID ya mtu ambae ipo toka 2010 alafu haijulikani ningeelewa.
sasa kwa Husny ana ka uchembe wa jf addiction. naona hii thread ina walengwa hasa wa
kuhakikisha kua yeye hatakuwepo. teh teh teh. mimi nitamu miss kwa kweli sabb najua hio
ID mpya mie sitapewa. EMT una mpango na wewe wa kuaga anytime soon?
DC pole sana lol
Mkuu EMT,
Unadhani hata tukikanusha mtatuamini basi?
Kama ni kashfa basi hii ni ya kufungulia mwaka 2012....
Ila siko tayari kuwajibika kwa lolote....!!
Babu DC
Hahahahahahahahah,
Hivi mmeshafikia hiyo conclusion?
Anyway, cheusimangala keshampa huyo kibabu credits za nguvu.....!!
Babu DC!!
Kwa sasa mimi ni wa hapa hapa. Nikiaga wala sitamjulisha mtu.
Kwa hiyo kama wewe ni kibibi, wala usiogope kuni-PM. lol.
Halafu nikiaga nataaga mazima mazima. Sitarudi kwa ID nyingine.
Sidhani kama Husninyo ameaga mazima mazima.
Ameelezea tuu challenges, alizozikuta hapa JF tokea ajiunge.
You don't run away from challenges, you deal with them.
Wewe una mpango wa kuaga kwa challenges ulizozipata hapa?
Bora uniambie fasta.
Babu oyeeeeeee!😛oaHahahahahahahahah,
Hivi mmeshafikia hiyo conclusion?
Anyway, cheusimangala keshampa huyo kibabu credits za nguvu.....!!
Babu DC!!
Kipipi nashindwa kuzielewa hisia zangu juu ya kibabu,kwanza sijafurahia kilivyosababisha husninyo kuondoka,pili nahisi kina manufaa fulani kwa vijana wetu si unaona jinsi vijana wanavyokuja na thread za kuomba wapewe mbinu za kushawishi wasichana tena ambao wanaonana face to face huko mitaani lakini kibabu kimeweza kumtoa husninyo wetu kwa Pm tu hadi pale husninyo alipoona huu umri umezidi sana ndo mambo yakamharibikia kibabu.Ila pia kinajiamini eti pamoja na kujionesha kuwa ni kizee bado kinataka ku-DO jamani huyu babu kwa kweli kashindikana.
Nimemsoma na Nyani Ngabu naona misimamo inafanana. teh teh teh
hata hivo husny kisha sema kua atakua hapa kama guest kuondoka hawezi,
tatizo ni kutumia tu hii ID yake ambayo imeface challlenge nyingi.
hapa mimi napenda challenge hadi nazikimbilia teh teh teh, ngoja niku
pm nikupe namba yangu ya simu unikopeshe pesa ya bundle.