cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
jamani lakini kibab cha challenge D mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kina stahili sifa maana sijui kilikua kinatumia maneno gani hadi kikafanikiwa kupata date na husninyo,vijana fanyeni mkijue hichi kibabu kiwafundishe mbinu kinaonesha kina utaalamu fulani wa kipekee.