Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

Challenges nilizoziface ndani ya jf tangu nimejoin mpaka sasa

Status
Not open for further replies.
Kama nikishida lotto kati ya watu wa JF ambao ningewagemea kidogo ni wewe? Bado hutanipa namba?



hahaha kidume kazini naona! Kamanda unataka kumkimbiza na Purple?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
this is a very interesting thread

It amounts to web/cyber bullying, or even sexual harassment under the umbrella ya majina feki

i am very interested kujua JF family itasemaje kuhusu hili

in a way ni appeal to the community for a fair trade

If you participate in any forum on the site, you warrant that you will not:
  • Defame, abuse, harass or threaten others
Naamini JF are obliged to follow confidentiality and data protection laws.
Hata hivyo sidha kama JF ipo responsible kwa yanayotokea nje ya JF.
Japokuwa:
JAMIIFORUMS reserves the right to reveal any information we have about you in the event of a complaint and legal action arising from any message that you may post. Please also note that all IP addresses are recorded when items are posted.

Sijui kama "messages" also include "PMs"?
 
pole husninyo ila challenge D inachekesha sana.
Jamani kuna watu wanapenda vibabu hivyo kama mtu wewe ni kibabu mkiwa huko Pm sema tu ukweli wewe ni kikongwe ili hata mkipanga kukutana mtu anajua anakutana na age gani,sio mtu unaleta swagga za kijana aliyemaliza chuo kumbe na kazi ulishastaafu.Pia humu naamini kuna vibibi na nyie mkiwa PM semeni tu ukweli sio kuleta swagga za umri wa Lulu kumbe mlicheza rede na bikidude halafu mnasumbua watu siku ya kukutana mwishowe wanakuja hapa kuleta nyuzi za kulalamika.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Khaa! sasa si ungeandika challenge D tu? umeweka details zote, na hiyo challenge E sio Kongosho kweli? Hiyo challenge F haina ubishi ni nitonye tu
Hahaha! Heri mimi sijasema! Challenge D ndio nimeipenda asee daaah!....

hebu think lawyer wakati swahiba anakazana kutuma PM na kusema 'I love you baby boy', tobaaaaa!!! kufumba na kufumbua kumbe kibabu hakina hata meno!...lolest

Kibabu kinataka kumfia Husninyo nyumba za kulala wenyeji lol.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
JF ni sehemu ya kipekee ambayo kama mtu hujui hatari za mtandaoni ni rahisi kujikuta sehemu usiyoitegemea.Humu kuna wanaopiga wake zao kila siku lkn wakiwa hapa watalaani wanaume wanaopiga wake zao,kuna waliooa na wanawatoto lkn siku zote wakiwa hapa watapozi kama single men,humu kuna mashoga na wasagaji lkn wakiwa hapa watalaani hivyo vitendo,humu kuna wavivu wasipenda kujishughulisha wanaringia mali za kaka lkn wakiwa humu posts zao ni zaweza kuwa za maana kiasi ukadhani ni watu wa maana kama vitu wanavyoviandika,kuna wengine tunajifanya tumeokoka kumbe tunatype huku mkono mmoja umeshika red wine.Pia hapa JF kuna tuna utamaduni wetu fulani wa kumjua na kumpicture mtu kutokana na posts zake,kama anaonekana wa maana kutokana na vitu vya maana anavyoandika na hii inawafanya wengi tujisahau na kujikuta tunawaamini kiasi cha kuwaleta hawa watu katika maisha yetu ya kweli,mwisho wake ndo hivi vilio.JF siku zote itabaki kuwa salama kwa wenye kujua nini hatari za kwenye mitandao na siku zote itakua ni sehemu ya hatari kwa wanaodhani wanadamu wa JF ni tofauti na wanadamu wa kwenye mitandao mingine.
Pole Husninyo na asante kwa kushare .

Hicho hapo kwenye redi ndo kiini hasa cha matatizo yote.
 
Hehehe! Hiyo haina noma. Ila sasa inabidi unitumie kwa mpesa walau vilaki 2 hivi kama sign ya commitment (bond collateral) manake ukinikimbia b4 sijakuchakachua ntalaumiwa na bibi yangu aisee. Venue nichague ya bongo ama tukimbie wachawi tukajifiche ughaibuni kidogo (kwa matumizi hapa ndo break yao baba, relax)
We toa venue tu na si unajua kwa mila za watanzania sku ya kwanza garama analipia mwanamke? ningelipia mimi lakini itakuwa ni kuenda kinyume na mila za kabila letu. Tukikutana ya pili apo ndio Lonado Di Caprio wa bongo nafanya kufuru. Ushawahi kutema mate yakalewesha sisimizi na wadudu wengine wewe?
 
sweetlady, tunamkosa Husninyo hivi hivi... tufanye nini abaki?
Kama kweli hicho kibabu ni deskmate basi achukuliwe hatua sasa hivi

Mwali, hapa nilipo nna majonzi wacha kabisa...kibabu ni deskmate hilo halina ubishi, hebu fanya hima tuokoe jahazi!..akiondoka Husninyo akiondoka na mimi naondoka...nasikitika sana asee!

Afu aliemkopa sio King'asti kweli?
 
Last edited by a moderator:
Hehehe! Hiyo haina noma. Ila sasa inabidi unitumie kwa mpesa walau vilaki 2 hivi kama sign ya commitment (bond collateral) manake ukinikimbia b4 sijakuchakachua ntalaumiwa na bibi yangu aisee. Venue nichague ya bongo ama tukimbie wachawi tukajifiche ughaibuni kidogo (kwa matumizi hapa ndo break yao baba, relax)
Yangu macho mke mwenza, naona wajitafutia challenge hadharani..
 
Mwali, hapa nilipo nna majonzi wacha kabisa...kibabu ni deskmate hilo halina ubishi, hebu fanya hima tuokoe jahazi!..akiondoka Husninyo akiondoka na mimi naondoka...nasikitika sana asee!

Afu aliemkopa sio King'asti kweli?
Sidhani, King'asti anaonekana mstaarabu.
Naona tukacheki ile thread ya anti AshaDii
tuone nani alikua na deni la siku nyingi zaidi
atakua ni huyo huyo, maana mwenye lake haachi
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom