Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hahaha, Amechangamsha ligi lakini. Ndo raha ya mpira wetu.Nadhani viongozi waliamua tu kujikosha baada ya kufanyiwa umafia kwa Fabrice Ngoma. Ila kiukweli alikuwa ni average player.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, Amechangamsha ligi lakini. Ndo raha ya mpira wetu.Nadhani viongozi waliamua tu kujikosha baada ya kufanyiwa umafia kwa Fabrice Ngoma. Ila kiukweli alikuwa ni average player.
Kuna mechi nyingi tu atacheza. Chama ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa sana hata kama umri umeanza kumtupa mkono.Huyu jamaa kama kasaini Yanga ni kama Kuidhorotesha timu tu ila atakuja kukaa benchi kama Gift
We mbona kigeugeu mkuu, post zako za hapo juu umekomenti negatively ila hapa umekuwa mtetezi wa Chama😂😂🙌Kuna mechi nyingi tu atacheza. Chama ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa sana hata kama umri umeanza kumtupa mkono.
Kama ni mkenge basi watakuwa wameingia yanga, maana anaenda kwao.Simba soon wataingia mkenge wamsajil afu kwa pesa ndefu sana
Dili inasikwa kiakili sana
Hongera sana yanga kwa hili
Hajui asimamie wapi.We mbona kigeugeu mkuu, post zako za hapo juu umekomenti negatively ila hapa umekuwa mtetezi wa Chama[emoji23][emoji23][emoji119]
Ukigeugeu wa nini sasa! Nimesema Chama ni mchezaji mzuri. Ila umri tu ndiyo umeanza kumtupa. Kwa hiyo ikitokea kweli akasajiliwa Yanga, uwezekano wa kucheza mechi nyingi ni mkubwa kutegemeana na mwalimu atakavyo amua.We mbona kigeugeu mkuu, post zako za hapo juu umekomenti negatively ila hapa umekuwa mtetezi wa Chama😂😂🙌
Ulitaka nisimame wapi kwa mfano! Na hata nikisema sikubaliani na usajili wake, itabadilisha nini kama amesha sajiliwa?Hajui asimamie wapi.
Yanga wanahitaji strikers , ni bora wangemasajili Kibu Denis kulevya koliko Chama
Haaahaa 😂😂 maneno yangekua yanaua wengine tungekua tumesha kufa tayar...Sioni nafasi ya Chama kwenye timu ya Yanga inayocheza mpira wa kasi na kila mchezaji anakaba kwa nguvu zote. Huyu Chama hakabi na huwa anakata tamaa akikabwa sana, naona atafeli mapema mno, japo anaweza kuwa sub nzuri ya Max kwenye dakika za jioni. Simuoni Chama akikiwasha kikosi cha kwanza Yanga. Hana huo msuli.
Ile misemo ya Chama ni Mzee , chama hana spidi , chama ni konokono , chama anapoza mpira , chama hawezi pata namba Yanga huko kwenu bado ipo? Au kwakuwa kaenda huko sasa atageuka kuwa kijana mwenye spidi ?Chama khaaa umri.pia aongeze speed kidogo......basi sawa acha tusubiri
Hajui kwamba wacheza Huwa wanaumia lengo la yanga ni kuchukua ubingwa wa Africa 🌍Aziz Ki anacheza nafasi ya Nani? Pacome anacheza nafasi ya Nani? Max anacheza nafasi ya Nani? Mudathiri anacheza nafasi ya Nani??
Hili swali eti Chama atacheza nafasi ya nani ni la kijinga Tu hakuna mtu mwenye nafasi... Kwa kifupi Chama atacheza nafasi yake....
Ohhhj chamaaaaaa Karibu Sana Kwenye timu ya mabingwa
Sawa...tushakubali kukereka...Kama ni kweli basi amesajiliwa kwa ajili ya kuwakera tu! Au kuna kiongozi mwenye mamlaka pale Yanga anamkubali sana.