Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwani kuna nini?Zimebaki hisia tu.
Uchochezi!Nasikia ni mtu wetu yule
Msilete uchochezi!Wanampongeza Makamu Rais lakini hawakujitokeza kumpongeza Rais, je kulikoni?
Mahesabu ya Jiwe yamekwenda ''shaghalabagala''.Aliteua mtu akidhani ni dhaifu ili aweze kumControl matokeo yake ndio hivyo tena!Kuna ubaya gani?
Watu mnahoji uraia wa Mpango, mbona wazanzibari wanatawala Tanganyika na wala hamuulizi?
Ni mtanganyika gani amewahi kutawala Zanzibar?
Acha hata wakongo watawale Tanzania.
Mbona hawakumpongeza Mama Suluhu?๐น๐ฟ๐ฐ๐ช๐บ๐ฌ๐ท๐ผ๐ง๐ฎ๐ธ๐ธ ni ndugu. Hiyo mipaka iliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao tu. Anaweza kuwa na wazazi wa asili ya Burundi lakini ni mzaliwa wa kwenye aridhi ya Tanzania hivyo ni Mtanzania mwenzetu. Tumezipokea salaaaam kiroho safi kabisa
Mbona huoji wa Kenya kumpongeza Barrack Obama?????Mbona hawakumpingeza Mama Suluhu?