Simulizi za Mzee Ahmad Ibrahim Bakundukize : Vuguvugu la kisiasa 1950 - 1960 nchi za Maziwa Makuu za Tanganyika, Burundi, Ruanda na Congo Zaire
Waswahili wa nchi hizi 4 wamefanya makubwa bila kujali mipaka ya nchi zao, waliunganishwa na lugha ya kiSwahili na u-mjini wao kuwa popote ni kambi hivyo palipo na "waswahili" yaani panapoongewa lugha ya kiSwahili ni nyumbani na Panafaa kuongoza harakati.
Source : Mashariki TV
Waswahili wa nchi hizi 4 wamefanya makubwa bila kujali mipaka ya nchi zao, waliunganishwa na lugha ya kiSwahili na u-mjini wao kuwa popote ni kambi hivyo palipo na "waswahili" yaani panapoongewa lugha ya kiSwahili ni nyumbani na Panafaa kuongoza harakati.
Source : Mashariki TV