Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Ok wewe unayejiita mathew john au petro unajia ni majina ya wapi?Dr Isdory Ntibazokiza Mpango!!
Mh Rais alisema hilo jina la katikati hawezi kulitamka. Tanzania hatuna majina haya ya kina NTIBAZOKIZA😀
Elimu elimu elimu.
Tuachane na hilo. Asili ya watu wa burundi ni wapi?
Wangoni tulio nao hapa ni wapi?
Wamasai tulio nao hapa asili yao?
Wahaya unajua asili yao wapi? Hebu panua ubongo wako na usipanue sehemu iliyoweka akili finyu