Ntibazonkiza Nzabayanga
Dr.Ntibazonkiza Nzabayanga!Nasikia ni mtu wetu yule
Hussein Mwinyi sio MzanzibarKuna ubaya gani?
Watu mnahoji uraia wa Mpango, mbona wazanzibari wanatawala Tanganyika na wala hamuulizi?
Ni mtanganyika gani amewahi kutawala Zanzibar?
Acha hata wakongo watawale Tanzania.
Bongo sasa hivi ni nchi ambayo haina mwenyewe, hata wasomali wakitaka wanatawala tu kadri watakavyojisikia maana kama warundi, wazanzibari wanajitawalia wanavyotaka unategemea nini.
Hivi limekosekana tapeli moja la kinaijeria lije kutawala bongo?
Wanampongeza Makamu Rais lakini hawakujitokeza kumpongeza Rais, je kulikoni?
Kwani Tanganyika iliungana na Burundi na kuwa Tanzania au iliungana na Zanzibar na kuwa Tanzania?Kuna ubaya gani?
Watu mnahoji uraia wa Mpango, mbona wazanzibari wanatawala Tanganyika na wala hamuulizi?
Ni mtanganyika gani amewahi kutawala Zanzibar?
Acha hata wakongo watawale Tanzania.
Bongo sasa hivi ni nchi ambayo haina mwenyewe, hata wasomali wakitaka wanatawala tu kadri watakavyojisikia maana kama warundi, wazanzibari wanajitawalia wanavyotaka unategemea nini.
Hivi limekosekana tapeli moja la kinaijeria lije kutawala bongo?
Ali Hassan MwinyiKuna ubaya gani?
Watu mnahoji uraia wa Mpango, mbona wazanzibari wanatawala Tanganyika na wala hamuulizi?
Ni mtanganyika gani amewahi kutawala Zanzibar?
Acha hata wakongo watawale Tanzania.
Bongo sasa hivi ni nchi ambayo haina mwenyewe, hata wasomali wakitaka wanatawala tu kadri watakavyojisikia maana kama warundi, wazanzibari wanajitawalia wanavyotaka unategemea nini.
Hivi limekosekana tapeli moja la kinaijeria lije kutawala bongo?
Nachojua kuna Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuunda Tanzania uliofanyika tarhe 26 April 1964, huu muungano w Tanganyika na Burundi au Congo ulifanyika lini?Kuna ubaya gani?
Watu mnahoji uraia wa Mpango, mbona wazanzibari wanatawala Tanganyika na wala hamuulizi?
Ni mtanganyika gani amewahi kutawala Zanzibar?
Acha hata wakongo watawale Tanzania.
Bongo sasa hivi ni nchi ambayo haina mwenyewe, hata wasomali wakitaka wanatawala tu kadri watakavyojisikia maana kama warundi, wazanzibari wanajitawalia wanavyotaka unategemea nini.
Hivi limekosekana tapeli moja la kinaijeria lije kutawala bongo?
Swali fikirishi na anzishiWanampongeza Makamu Rais lakini hawakujitokeza kumpongeza Rais, je kulikoni?
Una uhakika Huyo JIWE ndiyo alimteua mgombea mwanza?Mahesabu ya Jiwe yamekwenda ''shaghalabagala''.Aliteua mtu akidhani ni dhaifu ili aweze kumControl matokeo yake ndio hivyo tena!
Mwache kwenda mwana kwenda sisi tuendelee kuchapa mwendo!Msimtwishe maoni yenu kuwa vitendo vya hayati Magufuli.
Kinana alishakua mpk naibu waziri wa ulinzi.Dunia hii binadamu anahama na kuzunguka kila mahali na kufanya makazi anapoona panamfaa
Kama ni kweli na alizaliwa Tz well and good ilimradi hakuvunja sheria
Hata Al Sisi alipotangazwa kuwa Rais wa Egypt, nchi ya kwanza kumpongeza walikuwa Israel
Hapo soma historia ya Sisi
Kwa kweli wabongo likija suala hili la kutaka kujua wewe nani na unatoka wapi, ni wengi sana wana asili ya nchi Jirani
Ni wachache sana wana babu wa nne hapa
Kama katiba inaruhusu ni sawa tu
Sijui Bashe akiwa ulinzi itakuwaje just thinking [emoji848]
Burundi tenaaaaPongezi hizo ni kwa mujibu wa tweet yao hii:
#Burundi: Chama cha CNDD-FDD kinatoa pongezi kwa Dkt P.I. MPANGO baada kuidhinishwa kuwa Makamu wa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Umahiri na utendaji kazi wake ni chachu ya kuleta maendeleo Tanzania chini ya uongozi wa Raisi Samia S. Hassan. Viva @ccm_tanzania
View attachment 1743455