Inaweza pigwa tena simu kuwa aachwe[emoji23].Yani huyu muhindi anapambana na mahakama!?? Je mahakama ikiamua kumfikisha mahakamani kwa uchafuzi wa jina si amekwisha asubuhi na mapema
Mnamo tarehe 26 Juni, 2023 manyabiashara Bw. Rostam Azizi wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu masuala ya uwekezaji alinukuliwa akiituhumu aliyoiita Mahakama ya Kisutu kwa kutokuwa huru katika uendeshaji wa shughuli zake.
Kutokana na taarifa hiyo tunapenda kuhabarisha umma yafuatayo:
Hakuna Jaji anayehudumu katika Mahakama hiyo kama ilivyoripotiwa na mzungumzaji wa taarifa hiyo.
Mahakama ya Tanzania ni chombo pekee cha utoaji haki nchini kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na huendesha shughuli zake kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu au chombo chochote.
Uongozi wa Mahakama na au Chama Cha Majaji na Mahakimu haujawahi kupokea tuhuma au lalamiko lolote kutoka kwa mtu yeyote ikionyesha Maafisa wa Mahakama kupigiwa simu na kuelekezwa namna ya kutoa maamuzi katika mahakama hiyo.
Kutokana na maelezo hayo Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania tunatoa kauli zifuatazo:
Kwa taarifa hii, Chama Cha Majaji na Mahakimu Tanzania kinamtaka Bw. Rostam Azizi athibitishe kauli yake akibainisha jina la Jaji na lini alipewa maagizo na Kiongozi wa Serikali kutoa maamuzi kinyume na taratibu zilizopo.
- Tumesikitishwa sana na kauli za Bw Rostam Aziz ambaye hatukutegemea aongee mambo mazito kama hayo bila kuwa na uhakika wala uthibitisho.
- Matamshi ya Bw Rostam Aziz yanaweza kuhatarisha uhusiano na ushirikiano katika mihimili mitatu ya dola ndani ya nchi yetu.
- Tunaomba wananchi wenye nia njema na Mahakama na mihimili mingine waendelee kuwa na Imani na mfumo wa utoaji haki nchini.
Akishindwa kutoa uthibitisho tunamtaka atumie Jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule.
Imetolewa na:
UONGOZI WA CHAMA CHA MAJAJI NA MAHAKIMU TANZANIA (JMAT)
4 JULAI 2023
Pia soma: Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali
Akishindwa kithibitisha na asipoomba radhi mtamfanyaje?
Rostam yupo sawa kabisaPamoja kuwa aliteleza na kusema ukweli [emoji3][emoji3],ila aliwakosea sana, kwamba athibitishe ni kumuonea tu kwasababu hakuna mtu asijua hilo na hata kama wengi wetu ni mabush lawyers ila kuna maamuzi yao mengi yanaukakasi......kutetea dp world Rostam simuungi mkono ila Kisutu amewapiga na kitu kizito
Athibitishe wapi? Mahakamani? Achemi mikwara nyie!Athibitishe sasa
Athibitishe kwa nani? Athibitishe wapi? Eti aitishe vyombo vya habari! Nani asiyejua vyombo vya habari navyo vinapokea maagizo? Nchi hii kwa unafiki hamjambo. Je asipothibitisha mtamfanya nini? Mtampeleka Mahakamani, thubutu!Sawa
Athibitishe
Mnamo tarehe 26 Juni, 2023 manyabiashara Bw. Rostam Azizi wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu masuala ya uwekezaji alinukuliwa akiituhumu aliyoiita Mahakama ya Kisutu kwa kutokuwa huru katika uendeshaji wa shughuli zake.
Kutokana na taarifa hiyo tunapenda kuhabarisha umma yafuatayo:
Hakuna Jaji anayehudumu katika Mahakama hiyo kama ilivyoripotiwa na mzungumzaji wa taarifa hiyo.
Mahakama ya Tanzania ni chombo pekee cha utoaji haki nchini kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na huendesha shughuli zake kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu au chombo chochote.
Uongozi wa Mahakama na au Chama Cha Majaji na Mahakimu haujawahi kupokea tuhuma au lalamiko lolote kutoka kwa mtu yeyote ikionyesha Maafisa wa Mahakama kupigiwa simu na kuelekezwa namna ya kutoa maamuzi katika mahakama hiyo.
Kutokana na maelezo hayo Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania tunatoa kauli zifuatazo:
Kwa taarifa hii, Chama Cha Majaji na Mahakimu Tanzania kinamtaka Bw. Rostam Azizi athibitishe kauli yake akibainisha jina la Jaji na lini alipewa maagizo na Kiongozi wa Serikali kutoa maamuzi kinyume na taratibu zilizopo.
- Tumesikitishwa sana na kauli za Bw Rostam Aziz ambaye hatukutegemea aongee mambo mazito kama hayo bila kuwa na uhakika wala uthibitisho.
- Matamshi ya Bw Rostam Aziz yanaweza kuhatarisha uhusiano na ushirikiano katika mihimili mitatu ya dola ndani ya nchi yetu.
- Tunaomba wananchi wenye nia njema na Mahakama na mihimili mingine waendelee kuwa na Imani na mfumo wa utoaji haki nchini.
Akishindwa kutoa uthibitisho tunamtaka atumie Jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule.
Imetolewa na:
UONGOZI WA CHAMA CHA MAJAJI NA MAHAKIMU TANZANIA (JMAT)
4 JULAI 2023
Pia soma: Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali
Tangu lini Rostam amekuwa mhindi?Yani huyu muhindi anapambana na mahakama!?? Je mahakama ikiamua kumfikisha mahakamani kwa uchafuzi wa jina si amekwisha asubuhi na mapema
Sawa,tunasubiri tuoneTuna muua!
Bora wasingetoa tuKwa mujibu wa hilo tangazo la chama cha mahakimu na majaji, ikiwa Rostam atashindwa kuthitisha chochote au kukanusha HAKUNA CHOCHOTE ATAFANYWA.
Sijui kama ni ponjoro,Mmanga muajemi but hoja yangu ni kwamba kama hana ushahidi kwa aliyoyasema basi ameikosea mahakama bigtime.Tangu lini Rostam amekuwa mhindi?
Wanajitutumua hao. Namuunga mkono Rostam .... Huo ndiyo ukweli wenyewe. Hata Jaji Mkuu uteuzi wake ulifanywa na JPM kwa mtindo uleule....!!Rostam kasema kweli Tanganyika hakuna mahakama
Naunga mkono,ROA yupo sahihiRostam kasema kweli Tanganyika hakuna mahakama
Aliteuliwa naibu jaji mkuu,akasotoe hiko cheo karibu mwaka mzima ndo akawa jaji mkuuWanajitutumua hao. Namuunga mkono Rostam .... Huo ndiyo ukweli wenyewe. Hata Jaji Mkuu uteuzi wake ulifanywa na JPM kwa mtindo uleule....!!
Mkuu kamwekaje Mwanasheria Mkuu!?Rostam sasa ana nguvu zaidi ya mtu yyt Tanzania....kama ameweza kumuweka Mwanasheria mkuu hapo alipo ....Anajua analosema.....! Nina hakika sio kwa bahati mbaya !! Alichofanya....hadi Dowans wanalipwa....tunajua yote ! Wenyewe wamemdekeza....ndio maana anayajua ya ndani sana!
Rostam kasema kweli Tanganyika hakuna mahakama