Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania chamtaka Rostam Aziz kuthibitisha tuhuma alizotoa dhidi ya Majaji na Mahakama ya Kisutu

Si kama wana ubavu wamfungulie mashtaka kwa kuidhalikisha mahakama. Ili sasa aje athibitishe.

Ngoja aje akiri hadharani sisi tufungue kesi kwa ushahidi wake wa kukiri.

Hii nayo ni kazi maana ajira hakuna
 
Kwa kifupi ni hivi
Chama cha Majaji kinamuomba Bw Rostam Aziz aombe radhi kwa kusema ukweli la sivyo kitamburuza mahakamani Kisutu kuthibitisha kuwa hawapokei maagizo kutoka serikalini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona Magufuli alisema wazi kwamba mhimili wake umechimbiwa chini zaidi na hao majaji hawakusema kitu?

Kama walikubali mhimili wa rais umechimbiwa chini zaidi, watakataaje kwamba wanaweza kuamrishwa kwa simu kutoka Ikulu?
 
Yani huyu muhindi anapambana na mahakama!?? Je mahakama ikiamua kumfikisha mahakamani kwa uchafuzi wa jina si amekwisha asubuhi na mapema
Aishe kwa hapa Tanganyika au nchi gani?

Unamfahamu huyu jamaa tangia mwaka gani?

Je,unazifahamu mahakama,mahakimu na majaji wa Tanganyika?



Unajisahaulisha enzi za miaka 4 nyuma kabla ya leo DPP Biswalo alichokuwa akikifanya?
 
Wanakimbia kivuli chao..!! Jua likiwaka tu na huku wapo juani, hiki hapa..!!
 
Nchi yetu ina double standards, angesema raia wa kawaida angekuwa polisi sasa hivi! Mpaka majaji wanalalamika kwanini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa?
 
Hawana ubavu wa kumfanya chochote.
Kama mdogo wake alipiga meno na Raisi wa Chato alishindwa cha kumfanya wataweza wao kwake yeye...!
 
Changamoto ni kwamba Rostam sio mwenzetu, au sio size yetu.

Yule ni intelligent kupita sote! Sio mara chache akihusishwa na CIA ya USA
 
Majaji na mahakimu wanaandika Taarifa kwa umma kama wanaharakati na wanasiasa?

Wanatakiwa wamwandikie summons aje a appear mbele Yao ku SHOW COURSE

Contempt of the court sio kanjubal kupiga chafya kwenye chumba Cha mahakama au kuongea wakati mahakama INAENDELEA tuu Bali ni jambo lolote lililofanywa ,au kusemwa lenye lengo la makusudi kuidharau mahakama
 
Ule mhimili uliojichimbia chini zaidi unaweza kupiga simu moja tu mahakamani au bungeni na panya wote wakafyata mkia, nafikiri ndo alichomaanisha Rostam.

Kwenye swala la spika wa bunge kuondoka madarakani kwa pressure ya rais ni udhihirisho tosha. Katika hali ya kawaida spika ndo anaweza kuitisha kura ya kumwondoa rais madarakani, lakini kwa hapa bongolala ni kinyume chake, rais ndo anamwondoa spika madarakani.​
 
Tena kipindi cha Jiwe, Majaji wengi walikuwa wanafuata matakwa yake na maagizo...
Maadhimisho ya Wiki ya Sheria kati ya mwaka 2017/2018 alisema kwa kunukuu " Mahakama mnahitaji pesa harakisheni hukumu ili na nyie mpate bajeti ya kukarabati maeneo yenu "
Maana yake toeni hukumu za kulazimisha malipo mpate fedha... Hayo yalikuwa maagizo ya waziwazi
 
Watu weupe wanaonewa sana, hilo liangaliwe kwa karibu.. na wengine hutafuta pesa kwa njia za ulaghai kupitia watu weupe,
 


Abebe ile clip pendwa ya jiwe yenye kuunasibu bayana Ile mhimili uliojichimbia zaidi.

Wakikiri kuusikia ujumbe huo na kutomkana aliyeyatamka hadharani mchana kweupe, basi Rostam atakuwa hana kesi.

"Go Rostam go mifano Hadi ya kesi za akina Mboye ziko upande wako!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…