pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
BREAKING: Mmoja wa wanafamilia ya Wangwe aishiye jijini Mwanza amevamiwa usiku wa leo na kuuwawa na watu wasiojulikana kwa kukatwakatwa na mapanga. Familia ya Wangwe inahusika na waliofungua kesi kupinga mkataba wa DP World.Kiongozi wa taifa letu na machawa wake View attachment 2678192
Dah nilifikiri haya mambo yameshaishaBREAKING: Mmoja wa wanafamilia ya Wangwe aishiye jijini Mwanza amevamiwa usiku wa leo na kuuwawa na watu wasiojulikana kwa kukatwakatwa na mapanga. Familia ya Wangwe inahusika na waliofungua kesi kupinga mkataba wa DP World.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wanashtuka kuambiwa ukweli?Mnamo tarehe 26 Juni, 2023 manyabiashara Bw. Rostam Azizi wakati akiongea na vyombo vya habari kuhusu masuala ya uwekezaji alinukuliwa akiituhumu aliyoiita Mahakama ya Kisutu kwa kutokuwa huru katika uendeshaji wa shughuli zake.
Kutokana na taarifa hiyo tunapenda kuhabarisha umma yafuatayo:
Hakuna Jaji anayehudumu katika Mahakama hiyo kama ilivyoripotiwa na mzungumzaji wa taarifa hiyo.
Mahakama ya Tanzania ni chombo pekee cha utoaji haki nchini kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na huendesha shughuli zake kwa uhuru bila kuingiliwa na mtu au chombo chochote.
Uongozi wa Mahakama na au Chama Cha Majaji na Mahakimu haujawahi kupokea tuhuma au lalamiko lolote kutoka kwa mtu yeyote ikionyesha Maafisa wa Mahakama kupigiwa simu na kuelekezwa namna ya kutoa maamuzi katika mahakama hiyo.
Kutokana na maelezo hayo Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania tunatoa kauli zifuatazo:
Kwa taarifa hii, Chama Cha Majaji na Mahakimu Tanzania kinamtaka Bw. Rostam Azizi athibitishe kauli yake akibainisha jina la Jaji na lini alipewa maagizo na Kiongozi wa Serikali kutoa maamuzi kinyume na taratibu zilizopo.
- Tumesikitishwa sana na kauli za Bw Rostam Aziz ambaye hatukutegemea aongee mambo mazito kama hayo bila kuwa na uhakika wala uthibitisho.
- Matamshi ya Bw Rostam Aziz yanaweza kuhatarisha uhusiano na ushirikiano katika mihimili mitatu ya dola ndani ya nchi yetu.
- Tunaomba wananchi wenye nia njema na Mahakama na mihimili mingine waendelee kuwa na Imani na mfumo wa utoaji haki nchini.
Akishindwa kutoa uthibitisho tunamtaka atumie Jukwaa lile lile kuomba radhi kwa uzito ule ule.
Imetolewa na:
UONGOZI WA CHAMA CHA MAJAJI NA MAHAKIMU TANZANIA (JMAT)
4 JULAI 2023
Pia soma: Rostam Aziz: Hakuna mwekezaji atakubali kuwekeza halafu umwambie aende Mahakama ya Kisutu ambapo Majaji wanaweza kupigiwa simu na watu wa Serikali
Maneno ya baba wa Taifa.Furushi ni mpumbavu
Tatizo sio uwekezaji tatizo ni mikatabaTuendelee zetu na DP-World tu.
Yataisha CCM wakitoka madarakani.Dah nilifikiri haya mambo yameshaisha
Haya ya Dap world yatapita na watu kadhaa ngja tuone.BREAKING: Mmoja wa wanafamilia ya Wangwe aishiye jijini Mwanza amevamiwa usiku wa leo na kuuwawa na watu wasiojulikana kwa kukatwakatwa na mapanga. Familia ya Wangwe inahusika na waliofungua kesi kupinga mkataba wa DP World.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ya Dap world yatapita na watu kadhaa ngja tuone.BREAKING: Mmoja wa wanafamilia ya Wangwe aishiye jijini Mwanza amevamiwa usiku wa leo na kuuwawa na watu wasiojulikana kwa kukatwakatwa na mapanga. Familia ya Wangwe inahusika na waliofungua kesi kupinga mkataba wa DP World.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chezea pesa wewe?Yani huyu muhindi anapambana na mahakama!?? Je mahakama ikiamua kumfikisha mahakamani kwa uchafuzi wa jina si amekwisha asubuhi na mapema
Bado wewe unakilanga san 🤣Haya ya Dap world yatapita na watu kadhaa ngja tuone.
Hamuoni aibu kutimikishwa na CCM?Chama Cha Majaji na Mahakimu haujawahi kupokea tuhuma au lalamiko lolote kutoka kwa mtu yeyote