Chama cha Mapinduzi champongeza Rais Samia kwa kuimarisha Demokrasia

Mama anapika Nyau anamsubiri. Nyumba ina kuta za rangi ya kijani.
 
Kwahiyo Shaka ameita Press kwa ajili ya kumwagia sifa mama tu? Au kuna jambo lingine muhimu ameongea?
 
Hakuna ukakasi wowote,

Ref, Uchaguzi Konde mkuu


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Kwel kabisa upo sahihi man.

Ref: mikutano ya vyama vya siasi ilivyo hiv sasa (Chama tawala V/S Wapinzani) wanatreatiwa sawa?
 
Safi sana uongozi CCM Taifa,

Tunaimani kubwa sana na ninyi,

Umekuwa wazalendo wa kweli wakati wote,

Kazi iendelee
 
Safi sana uongozi CCM Taifa,

Tunaimani kubwa sana na ninyi,

Umekuwa wazalendo wa kweli wakati wote,

Kazi iendelee
😍😍😍

#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI ||

Endelea kumpigania mkuu Wangu
 
Kwel kabisa upo sahihi man.

Ref: mikutano ya vyama vya siasi ilivyo hiv sasa (Chama tawala V/S Wapinzani) wanatreatiwa sawa?
Don't live the past the past mkuu Wangu,

Utachelewa sana kufika,


😍😍😍


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI ||
Kwel kabisa upo sahihi man.

Ref: mikutano ya vyama vya siasi ilivyo hiv sasa (Chama tawala V/S Wapinzani) wanatreatiwa sawa?
 
Kwahiyo Shaka ameita Press kwa ajili ya kumwagia sifa mama tu? Au kuna jambo lingine muhimu ameongea?
Unaona haya sio ya Muhimu?

Ulijua watu 180,000 wameongeza hadi laki 5 za nyongeza?


Acha maneno mengi tuchapeni kazi

😍😍😍


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI ||
 
Don't live the past the past mkuu Wangu,

Utachelewa sana kufika,


😍😍😍


#KAZIIENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI ||
Hakuna past hapo. Kwan wakati NCCR na chadema wanazuiliwa/kuvurugiwa mikutano yao ya ndan na polisi huku chama tawala kinafanya mikutano bila pingamizi huwa unafumba macho? Kwenye swala la demokrasia kuanzia awamu ya 5 had hapa tulipo sasa watawala wamefeli kabisaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…