Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mkuu hao neto ni wezi wa sera za chama Cha ma jobless pro maxNEYO kiongozi wake atakuwa Intelligent businessman au kiongozi atachaguliwa mwengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hao neto ni wezi wa sera za chama Cha ma jobless pro maxNEYO kiongozi wake atakuwa Intelligent businessman au kiongozi atachaguliwa mwengine
Ila mkuu hiki chama Cha majobless Kam tukiweka matani pembeni tukawa serious kiasi Cha kwamba mpaka kiongozi wetu unatekwa lazma maendeleo yaje kwa vijanaMkuu hao neto ni wezi wa sera za chama Cha ma jobless pro max
Yaani mimi nitekwe ili nyinyi mpate maendeleo?, aiseeIla mkuu hiki chama Cha majobless Kam tukiweka matani pembeni tukawa serious kiasi Cha kwamba mpaka kiongozi wetu unatekwa lazma maendeleo yaje kwa vijana
Hutaki kuwa kama Nelson Mandela unafungwa kwaajili ya watuYaani mimi nitekwe ili nyinyi mpate maendeleo?, aisee
Asanteee😂Ushauri
Chama cha waalimu wasio na ajira, Non employed Teachers Organization (NETO)
Kingeongesa wigo na kukusanya vijana wengi zaidi na kiwe Chama cha vijana wasio na ajira, Non employed Youth Organization (NEYO)
Karibuni kwa maoni
🤣Unafaa kutoa tuzo ya uchekeshaji
Wakisikia masuala ya ukosefu wa ajira wanashikwa na hasiraHuku huku CCm inakuja kupata tabu.
Hatari mno!Hizi nyakati si zenyewe...
Ni bora kukaa kimya.
You will perish
Kijana ugali wa dona mtam Sana, kufungwa labda kina min -me, makutupora waende jela kwa ajili ya chama 🤣😂Hutaki kuwa kama Nelson Mandela unafungwa kwaajili ya watu
Hiki ndio tuna kuzingatia chama Cha ma jobless pro max, huyo kaiga sera zetu bila kufikiri.Chama kijikite sio kupambania vijana waajiriwe bali kubuni fursa na kuwezesha vijana kujiajiri.
Wazo zuriChama kijikite sio kupambania vijana waajiriwe bali kubuni fursa na kuwezesha vijana kujiajiri.
Wakisikia masuala ya ukosefu wa ajira kwa vijana wanapata hasira mno.Sahivi watauliwa sn
SafiWasajili chama kiwe official. Kama kuna magoli ya mama na vyama vya machawa na vinapewa pesa itashindikana vijana wenye maono na malengo kupata pesa?
hawa wajinga ni wakurudi VETA wote hawana kitu kichwani wallah😂 Ety NEYO, kweli ukiwa jobless unakuwa mbunifu 😂