Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cha walimu peke yao ndio kinabamba, mpaka serikali imetishika kwa uwepo wake. Labda hao wengine wasio na ajira NEYO waunde chama chao halafu hivyo vyama vya wasioajiriwa viunde shirikisho la vyama vya wasioajiriwa ONEFUshauri
Chama cha waalimu wasio na ajira, Non employed Teachers Organization (NETO)
Kingeongesa wigo na kukusanya vijana wengi zaidi na kiwe Chama cha vijana wasio na ajira, Non employed Youth Organization (NEYO)
Karibuni kwa maoni
Duh hilo shirikisho la wasio na ajira litakuwa dude kubwa mno ccm wanaweza kuteka watu lakicha walimu peke yao ndio kinabamba, mpaka serikali imetishika kwa uwepo wake. Labda hao wengine wasio na ajira NEYO waunde chama chao halafu hivyo vyama vya wasioajiriwa viunde shirikisho la vyama vya wasioajiriwa ONEF
Noma sana. Wanashikwa na hasira mno wakisikia masuala ya ukosefu wa ajira kwa vijana. Ukosefu wa ajira ni uhalifuKazi imeanza,serikali inaogopa sana
Ushauri
Chama cha waalimu wasio na ajira, Non employed Teachers Organization (NETO)
Kingeongesa wigo na kukusanya vijana wengi zaidi na kiwe Chama cha vijana wasio na ajira, Non employed Youth Organization (NEYO)
Karibuni kwa maoni
SerikLi ya ccm inaogopa raiya wakeUshauri
Chama cha waalimu wasio na ajira, Non employed Teachers Organization (NETO)
Kingeongesa wigo na kukusanya vijana wengi zaidi na kiwe Chama cha vijana wasio na ajira, Non employed Youth Organization (NEYO)
Karibuni kwa maoni
Wakisikia masuala ya ukosefu wa ajira kwa vijana, wanapata hasira kaliSerikLi ya ccm inaogopa raiya wake
Shida vijana wenyewe wanashinda ku betiWakisikia masuala ya ukosefu wa ajira kwa vijana, wanapata hasira kali
Acha kabisa mkuu Moto unatuwakia balaa😂 Ety NEYO, kweli ukiwa jobless unakuwa mbunifu 😂
unaambiwa serikali imetetemeka mpaka mawaziri wake watatu wakaita viongozi wa NETO wakutane nao kwa mazungumzo.Kazi imeanza,serikali inaogopa sana
brand nzuri sana hiiUshauri
Chama cha waalimu wasio na ajira, Non employed Teachers Organization (NETO)
Kingeongesa wigo na kukusanya vijana wengi zaidi na kiwe Chama cha vijana wasio na ajira, Non employed Youth Organization (NEYO)
Karibuni kwa maoni
Mkuu hicho chama ni feki na kina tumia idea zetu kujipa uhai, ila sera zetu na zao ni tofauti.Raisi wa majobless Intelligent businessman analijua hili kwelii au hajashirikishwa?
Noma sanabrand nzuri sana hii
🤣NEYO + NETO= NYETO
Walimu wasio na ajira ndio wameitikisaWalau maticha wameitikisa serikali, tena kipindi kizuri cha uchaguzi.