Alisikika Waziri anaesimamia TISS na mwingine akisema suala ukosefu ajira Lina direct effect kwenye usalama wa nchi, ila wakasikika wengine wakiwazuzua wahanga kwa kuwatolea hata matusi na wengine wakaapply kamatakamata.
Alisikika Waziri anaesimamia TISS na mwingine akisema suala ukosefu ajira Lina direct effect kwenye usalama wa nchi, ila wakasikika wengine wakiwazuzua wahanga kwa kuwatolea hata matusi na wengine wakaapply kamatakamata.
Ushauri
Chama cha waalimu wasio na ajira, Non employed Teachers Organization (NETO)
Kingeongesa wigo na kukusanya vijana wengi zaidi na kiwe Chama cha vijana wasio na ajira, Non employed Youth Organization (NEYO)