Chama changu CCM mkitaka tusiwe wapinzani groom Vijana wengi ila kwa sasa macho yenu yaweke kwa Vijana hawa

Chama changu CCM mkitaka tusiwe wapinzani groom Vijana wengi ila kwa sasa macho yenu yaweke kwa Vijana hawa

Chama changu cha Mapinduzi
Tukitaka kuendelea kuongoza nchi tubadili mbinu

Hakikisha hatuweki mtu anayetumia nguvu kubwa kijibrand badala ya kazi kumbrand, kuna Vijana ambao kwakweli tuwe wakweli wanapiga kazi na wanakubali wanapokosea, wako humble Kwa wananchi , na ni wasafi Narudia ni wasafi nataka mjue hivyo ni wasafi hawana harufu ya ufisadi

1. Innocent Bashungwa
Kijana mmoja smart Mtanashati asiye na makuu Mtenda haki dhidi ya wengine ambaye akipata nafasi za juu ndani ya serekali tutapata jembe moja zuri , is so humble na anakiri anapokosea, anafuatiliwa sana Jamaa hata juzi kwenye ajali ya ndege bukoba hotuba yake imejaa hekima kuliko siasa na ni mtu pekee alokiri makosa ya serikali.

View attachment 2411635
2. Hussein Bashe
Mwamba wa AMKOS ameiwezesha wizara yake ya kilimo kufika mbali hata Kama bado kuna changamoto kadhaa ila tunaelewa shughuli yake CCM Hawa ndo watu wa kuwashika sana.

View attachment 2411642

3. Anthony Mtaka
Nani asiyeelewa kazi ya mwamba huyu Jamaa anaweza kazi sana ni msafi hana Makubdi and he is so intelligent Kabisa na anajali sana kazi yake kuliko jambo lolote.

View attachment 2411634

4. Steven Masele
Ana msimamo kwenye mambo ya msingi hayumbishwi hata kidogo na anatetea anachokiamini, ni mtendaji mzuri wa kazi tena sana.

View attachment 2411631

5. Togolan Mavura
Kwa ambao hamjui Jamaa ndo masta plan wa shughuli nyingi serikali zinazoonekana kukwama na akihusishwa zinaenda huyu Balozi jembe sana na Kwa taarifa nilizopenyezewa yeye na mzee wa nzega,Mkata na Bashungwa ndo mama anawaangalia Kama watu wa kuwapa Majukumu mazito sana anaposhindwa.

View attachment 2411664

6. Joanfaith Kataraihya (DED sehemu)
Haka kadada bwana kuna mtu alikataka kakakataa na ni mtu mzito tuachane na hayo twende kwenye kazi kamepiga kazi kuzidi Mkurugenzi yeyote wa Almashauri kuwai kutokea eneo alipo, tokea kaenda kuna mabadiriko makubwa sana sehemu anapoongoza, si mla rushwa ni mtiifu Kwa wananchi na anaelewa kazi

View attachment 2411657


7.Steven Byabato
Kwa taarifa wengi hawajui bwana Makamba anazingua wizara hii hata hicho kidogo ni Kwa sababu ya mipango ya Bwana Mdogo huyu

View attachment 2411658


Ombi Kwa CCM hizi ni hazina zitunzwe Lakin pili tunaomba tuwapate wengine wa aina hii ambao hata hatuwajui kuweza kuwa na timu ya kutosha hapo baadae

Kidumu Chama cha Mapinduzi

Britanicca
Masele Anaonekana ni leadership material. Hata Akina Julius Malema walionekana walimpenda enzi zake za Bunge la Africa. Ndugai kwa kiburi na wivu wake akamtoa.
 
Kwanini Mimi sionekani wakati napiga kazi sana pamoja na mke wangu? CCM nyie wabaguzi sana.
Ndivyo walivyo unaweza ukapiga kazi sana mwisho wa siku kama huna mtu huko upstairs unatupwa kwenye dustbin na matusi juu !! Hawana kheri hao. !! “Karma “ very soon !!
 
Chama changu cha Mapinduzi
Tukitaka kuendelea kuongoza nchi tubadili mbinu

Hakikisha hatuweki mtu anayetumia nguvu kubwa kijibrand badala ya kazi kumbrand, kuna Vijana ambao kwakweli tuwe wakweli wanapiga kazi na wanakubali wanapokosea, wako humble Kwa wananchi , na ni wasafi Narudia ni wasafi nataka mjue hivyo ni wasafi hawana harufu ya ufisadi

1. Innocent Bashungwa
Kijana mmoja smart Mtanashati asiye na makuu Mtenda haki dhidi ya wengine ambaye akipata nafasi za juu ndani ya serekali tutapata jembe moja zuri , is so humble na anakiri anapokosea, anafuatiliwa sana Jamaa hata juzi kwenye ajali ya ndege bukoba hotuba yake imejaa hekima kuliko siasa na ni mtu pekee alokiri makosa ya serikali.

View attachment 2411635
2. Hussein Bashe
Mwamba wa AMKOS ameiwezesha wizara yake ya kilimo kufika mbali hata Kama bado kuna changamoto kadhaa ila tunaelewa shughuli yake CCM Hawa ndo watu wa kuwashika sana.

View attachment 2411642

3. Anthony Mtaka
Nani asiyeelewa kazi ya mwamba huyu Jamaa anaweza kazi sana ni msafi hana Makubdi and he is so intelligent Kabisa na anajali sana kazi yake kuliko jambo lolote.

View attachment 2411634

4. Steven Masele
Ana msimamo kwenye mambo ya msingi hayumbishwi hata kidogo na anatetea anachokiamini, ni mtendaji mzuri wa kazi tena sana.

View attachment 2411631

5. Togolan Mavura
Kwa ambao hamjui Jamaa ndo masta plan wa shughuli nyingi serikali zinazoonekana kukwama na akihusishwa zinaenda huyu Balozi jembe sana na Kwa taarifa nilizopenyezewa yeye na mzee wa nzega,Mkata na Bashungwa ndo mama anawaangalia Kama watu wa kuwapa Majukumu mazito sana anaposhindwa.

View attachment 2411664

6. Joanfaith Kataraihya (DED sehemu)
Haka kadada bwana kuna mtu alikataka kakakataa na ni mtu mzito tuachane na hayo twende kwenye kazi kamepiga kazi kuzidi Mkurugenzi yeyote wa Almashauri kuwai kutokea eneo alipo, tokea kaenda kuna mabadiriko makubwa sana sehemu anapoongoza, si mla rushwa ni mtiifu Kwa wananchi na anaelewa kazi

View attachment 2411657


7.Steven Byabato
Kwa taarifa wengi hawajui bwana Makamba anazingua wizara hii hata hicho kidogo ni Kwa sababu ya mipango ya Bwana Mdogo huyu

View attachment 2411658


Ombi Kwa CCM hizi ni hazina zitunzwe Lakin pili tunaomba tuwapate wengine wa aina hii ambao hata hatuwajui kuweza kuwa na timu ya kutosha hapo baadae

Kidumu Chama cha Mapinduzi

Britanicca
safi sana....nimeipenda hii.
ukisikia uchawa-digitali ndio huu.
wao wenyewe willingly watakupigia, watakushukuru, halafu wataingia kwenye simu zao kukufanyia miamala.

kiutani utani, unaweza ukajikusanyia millioni na ushee kwa kathread kamoja tu.
 
Namkubali zaidi Bashungwa akifuatiwa na Bashe, hawa hawana element za kujipendekeza ili wabebwe, siku zote huwa nawaona wanasimama wao kama wao.

Lakini ulipoharibu kabisa ni kwa huyo dada DED, huyo kwangu ndie msanii namba moja kwenye hiyo orodha yako.

Sijawahi kuona chochote cha maana toka kwake mpaka umsifu ndie DED bora kwa sasa, zaidi ya kiki anazotafuta mitandaoni kwa kujisifia kuwavisha n'gombe hereni, na hiyo yako mpya ya kusema alitongozwa na mzito akamkataa, kama vile yeye ndie mwanamke wa kwanza kumkataa mwanaume aliyemtongoza!.
 
Mavura alikua muandika hotuba wa JK nothing special zaidi ya hiko!!

Huyo Byabato kapita kwa kuiba kura hana hata mandate ya wananchi wake kivipi Tena ni asset?

Huyo DED naye anafanya branding kubwa Ili tu 2025 agombee ubunge maana ana nyuzi nyingi humu za kusifiwa kuliko kueleza utendaji kazi wake!!

Hapo Assets kidogo ni Bashe na Mtaka (Ingawa naye yupo exaggerated sana) wakati alipopelekwa jiji la Dodoma ame under perform badly.

CCM hakuna assets no wonder vijana wa upinzani wakihamia huko wanapewa top seats!!
Nam
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Namba 1,2 hao wanajulikana kama sio wa nchi hii, namba 3 huyo ni mzee sio kijana, namba 6 huyu nae urai wake una mashaka sema anapiga kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom