Chama chetu vyama vyetu vya msingi na lazima ni Tanzania, Utu na Ubinadamu, CCM haiwakilishi Tanzania kwa ujumla wake , CCM ni mchepuo hiari kisiasa

Chama chetu vyama vyetu vya msingi na lazima ni Tanzania, Utu na Ubinadamu, CCM haiwakilishi Tanzania kwa ujumla wake , CCM ni mchepuo hiari kisiasa

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Naomba kwa yeyote yule mwenye utashi a akili timamu afahamu hilo, na umuhimu wa ufahamu huu sio hiari bali ni sharti na wajibu kwa kila awaye miongoni mwetu.

Utanzania hauna siasa, dini, ukabila, elimu, ukanda.

Siku ya mwisho kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe.

Njia ile ni nyembamba iendayo uzimani.

Mungu akawe nguzo ya utashi na akili kwa kila mmoja wetu na katika wingi wetu.

Ameni

Wadiz
 
Back
Top Bottom