Tetesi: Chama Kipya cha Siasa kusajiliwa hivi karibuni

Tetesi: Chama Kipya cha Siasa kusajiliwa hivi karibuni

Wapi Andrew Chenge
😜 mtemi amegoma kuyumba, anarejea Jimbo la Itilima kwa njia ile ile aliyofungiwa na hayati Magu. Huyu tamaa yake ni ile kiti ya Tulia ackson, patamu hapo
 
Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.

Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.

Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.

Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜

Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.

Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.

Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.

Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?

Hadi wakati mwingine.......
Safi sana, Siipendi CCM ila pia nimeichoka Chadema wacha tu Upinzani ufe kabisa unatuchafulia nchi pasipo Tija.
Chadema inakosea kila Awamu hatuna namna ya kuisaidia tuachane nayo sasa ina Upinzani wa Michongo sana Chini ya Mpuuzi Mbowe.
 
Safi sana, Siipendi CCM ila pia nimeichoka Chadema wacha tu Upinzani ufe kabisa unatuchafulia nchi pasipo Tija.
Chadema inakosea kila Awamu hatuna namna ya kuisaidia tuachane nayo sasa ina Upinzani wa Michongo sana Chini ya Mpuuzi Mbowe.
😳 eeboo.......
 
Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.

Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.

Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.

Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜

Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.

Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.

Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.

Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?

Hadi wakati mwingine.......
Akifanikiwa atakuwa amefanya jambo la msingi, aweke kambi kanda ya ziwa achukue kura za Pro Magufuli na Chadema waweke kambi kaskazini na Nyanda za Juu halafu tuone hao CCM kama kura zao za Pwani zitawarudisha madarakani. Dr. Slaa na Mpina ni wanasiasa pekee wameweza kubaki upande wa JPM.
 
Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.

Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.

Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.

Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜

Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.

Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.

Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.

Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?

Hadi wakati mwingine.......
Tlaatlaah wewe ni mpumbavu. Dkt Slaa ni mwerevu mwenye hekima ya uongozi. Ni mvumulivu ila huwezi ku mcompromise kabisa. Ndiyo ana madhaifu mengine lakini siyo mla rushwa kama mbowe. Siyo mnafiki kama zito, siyo tapeli kama lema. Siyo mdini kama lipumba. Kwa ujumla ulichoandika kuhusu mbowe umejionesha ujinga wako. Mtu yeyote mwenye akili asingekubali lowasa awe mgombea wa chama ambacho kilisema kina ushahidi usiokuwa na shaka ni fisadi. Hivi wewe na wajinga wenzako mlimsafishaje lowasa na ufisadi na kukubali awe mgombea wenu????? Narudia tena wewe ni mpumbavu.
 
Tlaatlaah wewe ni mpumbavu. Dkt Slaa ni mwerevu mwenye hekima ya uongozi. Ni mvumulivu ila huwezi ku mcompromise kabisa. Ndiyo ana madhaifu mengine lakini siyo mla rushwa kama mbowe. Siyo mnafiki kama zito, siyo tapeli kama lema. Siyo mdini kama lipumba. Kwa ujumla ulichoandika kuhusu mbowe umejionesha ujinga wako. Mtu yeyote mwenye akili asingekubali lowasa awe mgombea wa chama ambacho kilisema kina ushahidi usiokuwa na shaka ni fisadi. Hivi wewe na wajinga wenzako mlimsafishaje lowasa na ufisadi na kukubali awe mgombea wenu????? Narudia tena wewe ni mpumbavu.
sawa mtumishi.
Mungu akubarika sana kwa mawazo yako dhidi ya hoja yangu.
Una upeo mkubwa na wa kipekee mno, una hoja za maana na mashiko sana, una uchungu na mapenzi ya dhati si tu kwa dr.slaa bali nahisi ni kwa nchi nzima. Nakuona unavyoghadhabishwa na rushwa, utapeli, unafiki, udini na ukabila, na ukadiriki kwataja wahusika. Nimeogopa.

Nashukuru umekua muwazi na mkweli kutoa ya moyoni japo kwa kiasi uanweza athiri utu wa wa watu, kwakua inaweza isiwe hivyo unavyowafikiria kuhusu udini, rushwa na ukabila.

Binafsi sihusiani na yeyote miongoni mwa unaowapinga kwa kuwaita ulivyowaita na unaowaunga mkono.
Nasimama na mawazo na mtazamo wangu dhidi ya siasa za Padre,Dr. Wilbrod Peter Slaa katika siku za usoni. Hao wngine huwenda nikawajadili sehemu nyingine na maudhui mengine.

Hayo mahaba hako ya dhati hadi kuniona mie mjinga na mpumbavu labda sina majibu nayo kwasasa na sidhani kama nitakua nayo hata wakati mwingine.
Nachelea kukuomba radhi sana kwa hilo pamoja na hoja yangu ikiwa nimekukwaza ChawaWaMama
 
Mnachotwa kimawazo na hawa kenge na nyie mnakubali. Hivi unadhani Dr Slaa akiamua kurudi Chadema atakataliwa? Hivi unafikiri chama cha Zitto cha ACT kilichokosa mvuto kabisa Tanganyika kikipata mtu kama Dr Slaa kitakataa? Si watamlamba miguu miguu?
Chadema wenyewe wanasema ukiwawekea andazi na Silaa, wanachukua andazi, babu padre slaa kila anakoenda anakataliwa so hata akianzisha chama chake hakuna watakaomfuata.
 
Back
Top Bottom