Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia was the right fit in 2025 and I was going to vote for her if she did not sell our ports and lands to Arabs,amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.
Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?
Safi sana, Siipendi CCM ila pia nimeichoka Chadema wacha tu Upinzani ufe kabisa unatuchafulia nchi pasipo Tija.Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.
Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.
Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.
Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜
Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.
Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.
Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.
Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.
Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?
Hadi wakati mwingine.......
😳 eeboo.......Safi sana, Siipendi CCM ila pia nimeichoka Chadema wacha tu Upinzani ufe kabisa unatuchafulia nchi pasipo Tija.
Chadema inakosea kila Awamu hatuna namna ya kuisaidia tuachane nayo sasa ina Upinzani wa Michongo sana Chini ya Mpuuzi Mbowe.
Akifanikiwa atakuwa amefanya jambo la msingi, aweke kambi kanda ya ziwa achukue kura za Pro Magufuli na Chadema waweke kambi kaskazini na Nyanda za Juu halafu tuone hao CCM kama kura zao za Pwani zitawarudisha madarakani. Dr. Slaa na Mpina ni wanasiasa pekee wameweza kubaki upande wa JPM.Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.
Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.
Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.
Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜
Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.
Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.
Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.
Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.
Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?
Hadi wakati mwingine.......
Tlaatlaah wewe ni mpumbavu. Dkt Slaa ni mwerevu mwenye hekima ya uongozi. Ni mvumulivu ila huwezi ku mcompromise kabisa. Ndiyo ana madhaifu mengine lakini siyo mla rushwa kama mbowe. Siyo mnafiki kama zito, siyo tapeli kama lema. Siyo mdini kama lipumba. Kwa ujumla ulichoandika kuhusu mbowe umejionesha ujinga wako. Mtu yeyote mwenye akili asingekubali lowasa awe mgombea wa chama ambacho kilisema kina ushahidi usiokuwa na shaka ni fisadi. Hivi wewe na wajinga wenzako mlimsafishaje lowasa na ufisadi na kukubali awe mgombea wenu????? Narudia tena wewe ni mpumbavu.Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.
Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.
Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.
Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜
Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.
Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.
Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.
Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.
Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?
Hadi wakati mwingine.......
Ungejua hao ndiyo wanamuhitaji. Huwezi lingasha takataka mbowe na Dkt Slaa.Ni haki yake...lakini Dr.hawezi fanikiwa.
Sababu...."2B1ask1" hawatombariki.
Kidumu chama tawala na jumuiya zakeSina Shaka na usajili wowote wa chama kipya make najua vyama vyote vya siasa nchini Tanzania ni branches za chama dume CCM, kidumu chama cha mapinduzi!!
HujanielewaUngejua hao ndiyo wanamuhitaji. Huwezi lingasha takataka mbowe na Dkt Slaa.
Ni kufanya nini?Kutenda sio kutoa hela tu
Mnachotwa kimawazo na hawa kenge na nyie mnakubali. Hivi unadhani Dr Slaa akiamua kurudi Chadema atakataliwa? Hivi unafikiri chama cha Zitto cha ACT kilichokosa mvuto kabisa Tanganyika kikipata mtu kama Dr Slaa kitakataa? Si watamlamba miguu miguu?anataka ruzuku tu hakuna lolote
sawa mtumishi.Tlaatlaah wewe ni mpumbavu. Dkt Slaa ni mwerevu mwenye hekima ya uongozi. Ni mvumulivu ila huwezi ku mcompromise kabisa. Ndiyo ana madhaifu mengine lakini siyo mla rushwa kama mbowe. Siyo mnafiki kama zito, siyo tapeli kama lema. Siyo mdini kama lipumba. Kwa ujumla ulichoandika kuhusu mbowe umejionesha ujinga wako. Mtu yeyote mwenye akili asingekubali lowasa awe mgombea wa chama ambacho kilisema kina ushahidi usiokuwa na shaka ni fisadi. Hivi wewe na wajinga wenzako mlimsafishaje lowasa na ufisadi na kukubali awe mgombea wenu????? Narudia tena wewe ni mpumbavu.
Na ruzuku yenyewe hatoipataanataka ruzuku tu hakuna lolote
Chadema wenyewe wanasema ukiwawekea andazi na Silaa, wanachukua andazi, babu padre slaa kila anakoenda anakataliwa so hata akianzisha chama chake hakuna watakaomfuata.Mnachotwa kimawazo na hawa kenge na nyie mnakubali. Hivi unadhani Dr Slaa akiamua kurudi Chadema atakataliwa? Hivi unafikiri chama cha Zitto cha ACT kilichokosa mvuto kabisa Tanganyika kikipata mtu kama Dr Slaa kitakataa? Si watamlamba miguu miguu?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Sina Shaka na usajili wowote wa chama kipya make najua vyama vyote vya siasa nchini Tanzania ni branches za chama dume CCM, kidumu chama cha mapinduzi!!