Tetesi: Chama Kipya cha Siasa kusajiliwa hivi karibuni

Tetesi: Chama Kipya cha Siasa kusajiliwa hivi karibuni

Slaa angepumzika Tu. Umri wake hauhitaj misuko Suki anayoilazimisha.

Alipopewa Ubalozi hakuonyesha tofauti yoyote Kati yake na mabaloz kutoka CCM

Alupokuwa Mbunge aliwafanyia nin Wana KARATU kinachoweza kumtofautisha na wabunge kutoka CCM.

Usije hapa ukadai kuwa Slaa alisema hiv au vile,, kusema ni rahis Tu Ila kutenda sasa
Ccm wanazo mbinu nyingi za ushindi na hii ni 1 wapo
 
anadai anazo hoja za msingi kuikombo nchi ktk lindi la umaskini na unyonge wa kipato, ni mtu clean na anaaminika kitaifa na kimataifa na ndie pekee mwenye sifa za kua kiongozi wa nchi hii. Anadai anayoendosement na backing ya wananchi nchini lakini pia kimataifa. Kwahiyo hawezi kuacha fursa hiyo ambayo pia ni ndoto yake ya muda mrefu.

Hayo mengine ya umri na sijui eti alifanya nn wapi atayajibu kwenye majukwaa ya kisiasa wakat muafaka.
Lakini yeye ni mtu mwenye afya njema, akili timamu na anauwezo kukabiliana na yeyote kwa namna zote.

For sure, Mzee amedhamiria na anajiamini mno, anaongea kwa matumaini makubwa mno ya kufanya jambo 2025.
Let's wait and see....
Hata ruasa ndoto yake ilikuwa kama hiyo ya kuishi ikulu leo yuko mikochemi
 
😳 eeboo.......
Kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa somebody joseph au john tlaatlaa kwao ilikuwa dumbeta huko njia ya kwenda dirma, sijui yuko wapi kwa sasa sijaonana nae tangu 2004-2005.

Alikuwa mweusi sana mnene na macho madogo meno meupe.
 
Kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa somebody joseph au john tlaatlaa kwao ilikuwa dumbeta huko njia ya kwenda dirma, sijui yuko wapi kwa sasa sijaonana nae tangu 2004-2005.

Alikuwa mweusi sana mnene na macho madogo meno meupe.
simfahamu na maeneo unayoyataja nimewahi kuyaskia na kuyakaribia ila sijawhi kuyafika wala kuishi huko bwana Kazakh destroyer
 
Kampeni ya kumchafua mtetezi wa rasilimali za Tanganyika.
Mnajaribu kumtengenezea taswira ya kuonesha yeye ni mbinafsi kwenye tamaa kubwa ya madaraka.
Ionekane kazi yote ya kupinga mkataba hafanyi sababu ya uzalendo bali anatumikia tumbo lake tu.
Hamtauwa wala kuzima kitu alichopandiza kwa watanganyika.
 
Sidhan mfalme wa uarabun atakubali kweli??
Wana uhusiano upi hao na wafalme?

Wafalme kwetu hapa wana uhusiano na Malkia wetu tu.

Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
IMG-20230825-WA0043(1).jpg
 
Kampeni ya kumchafua mtetezi wa rasilimali za Tanganyika.
Mnajaribu kumtengenezea taswira ya kuonesha yeye ni mbinafsi kwenye tamaa kubwa ya madaraka.
Ionekane kazi yote ya kupinga mkataba hafanyi sababu ya uzalendo bali anatumikia tumbo lake tu.
Hamtauwa wala kuzima kitu alichopandiza kwa watanganyika.
sawa,
asante kwa maoni na mtazamo wako,
lets wait and see.....
 
Wana uhusiano upi hao na wafalme?

Wafalme kwetu hapa wana uhusiano na Malkia wetu tu.

Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
View attachment 2738595
Ukiondoa dpw huyu mama sina shida nae .Alipotutoa kwa ukatili kwa yule wa chat siwezi msema bila stara.angeondoa tu hilo li mkataba 2025 ningenguwa jukwaan kifua wazi nimejipaka mawino ya kijana na ya njano "mama tuvushe"
 
Ukiondoa dpw huyu mama sina shida nae .Alipotutoa kwa ukatili kwa yule wa chat siwezi msema bila stara.angeondoa tu hilo li mkataba 2025 ningenguwa jukwaan kifua wazi nimejipaka mawino ya kijana na ya njano "mama tuvushe"
Guo bdiyo ujinga ambao bado upo nao.

Umejazwa ujinga wankutokuelewa duniabya leo iko wapi na inaelekea wapi.

Jifunze dhanna nzima ya falsafa ya R 4 za mama Samia. Hautopata shida kumuelewa.

Hakuna mwenye misuli wala ubavu wa kuiuza nchi hii - mama Samia.

Kama ulikuwa huelewi, elewa kuwa nchi ilishagaiwa bure kwa wale ambao wanajidai wazalendo sana sasa hivi. Sasa hivi nchi inababanduliwa kutoka kwenye makucha yao, wanahaha na kjlalamika hovyo bila mpango.

Haohao ndiyo walikuwa kikwazo cha kwanza wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika.

Kama huwaelewi, pole sana.
 
Ni haki ya Kila mtanzania kuanzisha au kujiunga na chama cha siasa, ukweli wananchi wameichoka ccm Ila vyama vilivyopo havina tofauti na hii ndio hofu kubwa ya kuona Kuna chama kipya kinaanzishwa.
 
Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.

Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.

Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.

Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜

Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.

Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.

Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.

Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?

Hadi wakati mwingine.......
Huyu Dr Slaa malaya wa kisiasa ameamua kujenga danguro kabisa baada ya kuchoka kusimama mtaani.

Kwa taarifa yake ataishia kupata provisional registration tu. Mjulisheni hivyo
 
Mushumbushi mwenyewe alikwisha mfuta Slaa. Mbona kabakia zake Canada!! Slaa ni mtu asiyetakiwa popote kutokana na tabia yake ya usaliti
Yule mwanamke alimpora Kwa mtu kumbe naye kaporwa tena? Babu slaa atakuwa ana laana ya uzinzi!!
 
Back
Top Bottom