Tetesi: Chama Kipya cha Siasa kusajiliwa hivi karibuni

Tetesi: Chama Kipya cha Siasa kusajiliwa hivi karibuni

Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.

Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.

Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.

Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜

Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.

Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.

Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.

Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?

Hadi wakati mwingine.......
Muda wa mavuno kwa wanasiasa uchwwara
 
Dr.Slaa ameshaanza kuharibikiwa uzeeni! Yeye angeachana na shughuli za kisiasa atulie basi.
Yaani hakuna platform nzuri inayoweza kumfaa zaidi ya CDM! CDM kwa sasa iko mioyoni mwa Wananchi kuliko hata CCM pamoja na kwamba CDM hawana mgombea wa Urais wa uhakika ambaye anaweza kupambana na CCM kwa sababu ya Katiba mbovu.
Dhambi aliyofanya ya kuikimbia CHADEMA inamgharimu mno.
Ni afadhari kwenye hili Sakata la bandari angetunza ulimi wake vizuri basi angefikiria kuiangukia magoti CCM wampokee harafu wamtafutie hata ubunge wa kuteuliwa lakini siyo CDM au Chama cho chote.
Anyway hatujui amejipangaje! Tusimdharau.
 
Dr.Slaa ameshaanza kuharibikiwa uzeeni! Yeye angeachana na shughuli za kisiasa atulie basi.
Yaani hakuna platform nzuri inayoweza kumfaa zaidi ya CDM! CDM kwa sasa iko mioyoni mwa Wananchi kuliko hata CCM pamoja na kwamba CDM hawana mgombea wa Urais wa uhakika ambaye anaweza kupambana na CCM kwa sababu ya Katiba mbovu.
Dhambi aliyofanya ya kuikimbia CHADEMA inamgharimu mno.
Ni afadhari kwenye hili Sakata la bandari angetunza ulimi wake vizuri basi angefikiria kuiangukia magoti CCM wampokee harafu wamtafutie hata ubunge wa kuteuliwa lakini siyo CDM au Chama cho chote.
Anyway hatujui amejipangaje! Tusimdharau.
....interesting........
 
anadai anazo hoja za msingi kuikombo nchi ktk lindi la umaskini na unyonge wa kipato, ni mtu clean na anaaminika kitaifa na kimataifa na ndie pekee mwenye sifa za kua kiongozi wa nchi hii. Anadai anayoendosement na backing ya wananchi nchini lakini pia kimataifa. Kwahiyo hawezi kuacha fursa hiyo ambayo pia ni ndoto yake ya muda mrefu.

Hayo mengine ya umri na sijui eti alifanya nn wapi atayajibu kwenye majukwaa ya kisiasa wakat muafaka.
Lakini yeye ni mtu mwenye afya njema, akili timamu na anauwezo kukabiliana na yeyote kwa namna zote.

For sure, Mzee amedhamiria na anajiamini mno, anaongea kwa matumaini makubwa mno ya kufanya jambo 2025.
Let's wait and see....
Kwa katiba yetu hata muungane wote the sitting president hawezi kufanywa lolote maana vyombo vyote vya maamuzi vinamtii yeye,matokeo ya kura anatangaza yeye anayoyataka yeye kwa kupitia midomo ya vyombo vya yeye huku akilindwa na kila aina ya vyombo vya ulinzi anavyoteua yeye
 
Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.

Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.

Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.

Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜

Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.

Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.

Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.

Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?

Hadi wakati mwingine.......
Kwa nini unatuwekea tetesi bila kusubiri kuihakiki habari kamili?

Hapa nadhani lengo lako ni kupima upepo wa kisiasa kuona namna watu wanavyocomment au ni njia ya kisayansi ya kumchafua mtu.
 
Safi sana, Siipendi CCM ila pia nimeichoka Chadema wacha tu Upinzani ufe kabisa unatuchafulia nchi pasipo Tija.
Chadema inakosea kila Awamu hatuna namna ya kuisaidia tuachane nayo sasa ina Upinzani wa Michongo sana Chini ya Mpuuzi Mbowe.
Karibu Demecratic party
 
Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.

Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.

Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.

Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜

Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.

Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.

Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.

Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?

Hadi wakati mwingine.......
Hz
Wanajamvi kwema.....
Nachelea kusema katika siasa hakuna jambo linaloweza kutokea bila lengo. Mambo yote katika siasa hubuniwa na wabobezi, hupangwa, huchakatwa na hatimae hutekelezwa na wataalamu kwa umahiri, umakini na weledi wa viwango ili kusudi kuyafikia malengo yaliyowekwa kwa uhakika na ufanisi wa viwango.

Dr Wibrod Peter Slaa ameamua kuunda na kukisajili Chama Chake kipya cha siasa. Lengo na madhumuni ni ili aweze kukitumia kujaribu kwa mara ya mwisho kutimiza kiu na ndoto yake ya muda mrefu, yakua kiongozi mkuu wa TZ.

Amechukua hatua hii baada ya jitihada zake zote kugonga mwamba za kutafuta platform ili immbebe Urais 2025. Amejaribu Chadema ameona uwezekano ni mgumu mno kuachiwa nafasi, ACT wanamuona dr. Slaa kama ni mtu asietabirika na haaminiki na lakini na yeye Dr slaa haiamini ACT, anahisi atatupwa njiani kama alivyo fanywa hayati Bernard Membe.

Nyuma ya mpango huu kabambe wa Padre,Dr.Wibrod Peter Slaa wapo Mwambukusi, James Francis Mbatia na waathirika wenzake wa mapinduzi ya NCCR- Mageuzi yaliyofanywa na kiongozi wa mapinduzi Joseph Selasini ambae pia hataki kuskia mtu ambae anaitwa James Francis Mbatia akikisogelea Chama Chake kwa namna yeyote ile😜

Manguli wengine ambao wako nyuma ya usajili huu ni pamoja na vigogo kadhaa ndani ya CCM ambao hawaridhishwi na mambo yanavyokwenda.
Hawa wamejipanga na kukusudia kumpa changamoto Mwenyekiti wao 2025. Mambo yakiwazidi basi tunaimani lao na nguvu zao zinaelekezwa kwa dr.slaa na Chama Kipya.

Kwa wakati muafaka, na kwa umakini mkubwa, Dr slaa amepanga kuunganisha vyama vyote vya kiraia na kisiasa kwa miadi kuwa akifanikiwa basi kutakua na mgawanyo sawa wa vyeo na mamlaka. Umoja Party ni miongoni mwa wadau wa mwanzo sana kutaka kuunganisha nguvu na Dr Slaa.

Baadhi ya wadau wa siasa wamekosoa hatua ya Dr. Slaa wakidai ilalenga kuudhoofisha upinzani kwa kuzigawa kura za upinzani ili hatimae CCM ishinde kirahisi.

Wito wa kujiunga na Chama hiki umetolewa na Dr.Slaa mwenyewe kwamba watakapoanza kutafuta wanachama bara na visiwani ili kupata usajili wa kudumu, amewaomba vijana, wake kwa waume kujitokeza kwa wingi na kujiunga na Chama hiki ili kulikomboa Taifa kutoka kwa mkoloni mweusi.

Una maoni gani kuhusu hatua hii ya Dr. Wilbrod Peter Slaa?

Hadi wakati mwingine.......
Ni propaganda za umoja party hizi chama kilichojifia kifo cha asili
 
Back
Top Bottom