Tetesi: Chama Kipya cha Siasa kusajiliwa hivi karibuni

Ccm wanazo mbinu nyingi za ushindi na hii ni 1 wapo
 
Hata ruasa ndoto yake ilikuwa kama hiyo ya kuishi ikulu leo yuko mikochemi
 
😳 eeboo.......
Kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa somebody joseph au john tlaatlaa kwao ilikuwa dumbeta huko njia ya kwenda dirma, sijui yuko wapi kwa sasa sijaonana nae tangu 2004-2005.

Alikuwa mweusi sana mnene na macho madogo meno meupe.
 
Kuna rafiki yangu alikuwa anaitwa somebody joseph au john tlaatlaa kwao ilikuwa dumbeta huko njia ya kwenda dirma, sijui yuko wapi kwa sasa sijaonana nae tangu 2004-2005.

Alikuwa mweusi sana mnene na macho madogo meno meupe.
simfahamu na maeneo unayoyataja nimewahi kuyaskia na kuyakaribia ila sijawhi kuyafika wala kuishi huko bwana Kazakh destroyer
 
Kampeni ya kumchafua mtetezi wa rasilimali za Tanganyika.
Mnajaribu kumtengenezea taswira ya kuonesha yeye ni mbinafsi kwenye tamaa kubwa ya madaraka.
Ionekane kazi yote ya kupinga mkataba hafanyi sababu ya uzalendo bali anatumikia tumbo lake tu.
Hamtauwa wala kuzima kitu alichopandiza kwa watanganyika.
 
sawa,
asante kwa maoni na mtazamo wako,
lets wait and see.....
 
Wana uhusiano upi hao na wafalme?

Wafalme kwetu hapa wana uhusiano na Malkia wetu tu.

Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
View attachment 2738595
Ukiondoa dpw huyu mama sina shida nae .Alipotutoa kwa ukatili kwa yule wa chat siwezi msema bila stara.angeondoa tu hilo li mkataba 2025 ningenguwa jukwaan kifua wazi nimejipaka mawino ya kijana na ya njano "mama tuvushe"
 
Ukiondoa dpw huyu mama sina shida nae .Alipotutoa kwa ukatili kwa yule wa chat siwezi msema bila stara.angeondoa tu hilo li mkataba 2025 ningenguwa jukwaan kifua wazi nimejipaka mawino ya kijana na ya njano "mama tuvushe"
Guo bdiyo ujinga ambao bado upo nao.

Umejazwa ujinga wankutokuelewa duniabya leo iko wapi na inaelekea wapi.

Jifunze dhanna nzima ya falsafa ya R 4 za mama Samia. Hautopata shida kumuelewa.

Hakuna mwenye misuli wala ubavu wa kuiuza nchi hii - mama Samia.

Kama ulikuwa huelewi, elewa kuwa nchi ilishagaiwa bure kwa wale ambao wanajidai wazalendo sana sasa hivi. Sasa hivi nchi inababanduliwa kutoka kwenye makucha yao, wanahaha na kjlalamika hovyo bila mpango.

Haohao ndiyo walikuwa kikwazo cha kwanza wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika.

Kama huwaelewi, pole sana.
 
Ni jambo jema.
Maana CHADEMA hawaaminiki.
Uchaguzi ukikaribia wanaweza kumpa Andrew Chenge kuwa mgombea af wakajisifu eti ni gia ya angani.
 
Ni haki ya Kila mtanzania kuanzisha au kujiunga na chama cha siasa, ukweli wananchi wameichoka ccm Ila vyama vilivyopo havina tofauti na hii ndio hofu kubwa ya kuona Kuna chama kipya kinaanzishwa.
 
Huyu Dr Slaa malaya wa kisiasa ameamua kujenga danguro kabisa baada ya kuchoka kusimama mtaani.

Kwa taarifa yake ataishia kupata provisional registration tu. Mjulisheni hivyo
 
Mushumbushi mwenyewe alikwisha mfuta Slaa. Mbona kabakia zake Canada!! Slaa ni mtu asiyetakiwa popote kutokana na tabia yake ya usaliti
Yule mwanamke alimpora Kwa mtu kumbe naye kaporwa tena? Babu slaa atakuwa ana laana ya uzinzi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…