Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo sababu tunahitaji vichwa huru, Wewe na ccm wote ni wamoja.Sambaratikeni tu Dunia inaihitaji Chadema ...
Mataga?Ndiyo sababu tunahitaji vichwa huru, Wewe na ccm wote ni wamoja.
Mnakariri vitu na akili kavu kama kuni, confined mindsets, kila mtu akija na wazo tofauti kwa ccm ni CHADEMA, na kwa wewe ukiona kitu tofauti akilil yako inakutuma kuwa ni CCM. My dear, Tanzania is so much bigger than the sphere of your your ccm and chadema.
Kwako kipi bora, Making Tanzania Great Again, kurejesha Tanzania katika ubora wake kwa maslahi ya Watanzania wote? au Sofisticating and Sustaining Ufisadi, kuboresha na kujenga ngome ya ufisadi endelevu katika Tanzania kwa maslahi ya familia tatu?Mataga?
Laana inawatafuna....Kwako kipi bora, Making Tanzania Great Again, kurejesha Tanzania katika ubora wake kwa maslahi ya Watanzania wote? au Sofisticating and Sustaining Ufisadi, kuboresha na kujenga ngome ya ufisadi endelevu katika Tanzania kwa maslahi ya familia tatu?
Chagua.
People's powerrrrrSambaratikeni tu Dunia inaihitaji Chadema ...
Sasa hivi wanaogopa hata kivuli chaoLaana inawatafuna....
People's powerrrrr
Tell us when it was great?Kwako kipi bora, Making Tanzania Great Again, kurejesha Tanzania katika ubora wake kwa maslahi ya Watanzania wote? au Sofisticating and Sustaining Ufisadi, kuboresha na kujenga ngome ya ufisadi endelevu katika Tanzania kwa maslahi ya familia tatu?
Chagua.
Hahaha wacha tu Mkuu laana inawatafunaSasa hivi wanaogopa hata kivuli chao
Na hapo bado sana hadi wawaombe radhi watanzaniaHahaha wacha tu Mkuu laana inawatafuna
Siyo ili mradi chama. Not every something is better than nothing.Pamoja na wingi wa vyama vyote tulivyonavyo bado tunauhitaji wa chama kipya?
Waombe radhi kwa lipi sasa?Na hapo bado sana hadi wawaombe radhi watanzania
Adui ni adui tu na kuondoka kwake ni ushindi, haijalishi anaondolewa na nani. Kinachojalisha ni nani anasimama baada ya adui kuondoka?Adui wa taifa ni CCM, Wakumuondoa huyo adui lazima atokee CCM.
We did a very big mistake in 2005
What do you think?Tell us when it was great?
Kwa kuwatia umasikini kwa zaidi ya miaka 60Waombe radhi kwa lipi sasa?