Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka Tume huru uone balaa lakeThibitisha!.
Weka Tume huru uone balaa lake
Divide and rule.Pamoja na wingi wa vyama vyote tulivyonavyo bado tunauhitaji wa chama kipya?
You are rightKwani hivyo vyama unavidharau sivimesajiliwa kisheria sawa na hicho unachotusumbua nacho
lengo lilikua anaetaka kuwa nahoja tofauti na ccm hajapata chama mbadala chakujiunga nacho,Vyama vingi vipi?/
Cha mzee RUNGWE unaita chama,
Vyama vya wale wasukuma wawili Cheyo na yule mwenzake unaita vyama? CUF pumba nacho Ni chama Cha upinzani au TLP.
HICHO UÑACHOONA KINAANDAMWA NA MAJAJI, SPIKA N.K NDIO CHAMA PEKEE CHA UPINZANI.
Siku ukiona serikali imepiga kitabu marufuku.
Tafuta hicho kitabu ukisome.