- Thread starter
- #21
Anayetakiwa kuomba msamaha ni ccm na si chama kingine.Kwa kuwatia umasikini kwa zaidi ya miaka 60
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayetakiwa kuomba msamaha ni ccm na si chama kingine.Kwa kuwatia umasikini kwa zaidi ya miaka 60
Ndiyo.Pamoja na wingi wa vyama vyote tulivyonavyo bado tunauhitaji wa chama kipya?
Inawatafuna nani?Laana inawatafuna....
Huyo hana loloteJe, Ni huyu ama Watanzania wamngojee mwingine?
Umejuaje? Na mwenye lolote ni nani basi?
Gwajiboy+Polepole+Mangula
Baasi.
Je, Ni huyu ama Watanzania wamngojee mwingine?
Hicho chama kitabinywa kabla hakijafika mbali.Pamoja na wingi wa vyama vyote tulivyonavyo bado tunauhitaji wa chama kipya?
Je, Ni huyu ama Watanzania wamngojee mwingine?
Hata mimi nilimaanisha hicho hicho chi chi yee muuuAnayetakiwa kuomba msamaha ni ccm na si chama kingine.
Vyama tunavyo vingi sana tunashida na katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi
Sasa hawa naona ni wengine kabisa. Lakini hawawezi kuzaa watoto wao wakue ili wawasajili kwenye chama. Inategemea na kiwango chao, mipango ya muundo wao, ila wanayo nafasi ya kuungw amkono na watu waliochoka ndani na nje ya ccm kwa sababu hao ndio Watanzania. Mtu akihama chama maana yake naye hajaaridhishwa na chama anachokitoka na hivyo hana tena sifa ya kuomba msamaha kwa niaba ya chama ambacho hata yeye haridhiki nacho.Hata mimi nilimaanisha hicho hicho chi chi yee muuu
Umetaja vyama viwili tu Kati ya Mia pili umetoa maoni yako na mtazamo waku kwa vyama vya Chadema na ACT sio mtazamo wa Watu woteSikatai kwamba tunahitaji katiba safi na salama. Siyo hii inayojishusha hadhi na kujikabidhi machinjioni, na haina uwezo wa kujilinda wala kujisimamia.
Lakini tunahitaji muundo bora, sahihi na unaoangalial usalama na ustawi wa Tanzania.
Vyama vingi ni vibovu. Angalai ACT Wazalendo na haiba ya kiongozi wake mkuu. Utaamini Zito akuongoze katika kweli na haki?
CHADEMA kina watu wazuri sana kama Mbowe n.k, isipokuwa kina shape na sura ya ukanda na ukabila. Hiki hakitufai kwa taifa, isipokuwa kifumuliwe na kutegnenezwa upya ili kiwe na sura ya utaifa.
La sivyo, we deserve the best and not the best available.
Bila shaka wewe ni ccm nyang'au. Mnaodhani mtaishi peke yenu na polisi bila Watanzania. Sahau.Naomba polepele afe kabla hajaleta madhara. Ee mungu ua hiki kiumbe
Je, Ni huyu ama Watanzania wamngojee mwingine?
Thibitisha!.CHADEMA NDIYO MKOMBOZI WA KWELI
Vyama vingi vipi?/Pamoja na wingi wa vyama vyote tulivyonavyo bado tunauhitaji wa chama kipya?
Hata CHADEMA Hatuhiitaji.Sambaratikeni tu Dunia inaihitaji Chadema ...
Kwani hivyo vyama unavidharau sivimesajiliwa kisheria sawa na hicho unachotusumbua nachoVyama vingi vipi?/
Cha mzee RUNGWE unaita chama,
Vyama vya wale wasukuma wawili Cheyo na yule mwenzake unaita vyama? CUF pumba nacho Ni chama Cha upinzani au TLP.
HICHO UÑACHOONA KINAANDAMWA NA MAJAJI, SPIKA N.K NDIO CHAMA PEKEE CHA UPINZANI.
Siku ukiona serikali imepiga kitabu marufuku.
Tafuta hicho kitabu ukisome.