Chama Kipya cha siasa - Umoja Party - Ni mwisho wa ccm, Ccm B au Upinzani?

Mimi nilidhani utatetea ubora wa CHADEMA, badalal ya kile nlichokikataa, ambacho Watanzania hatukitaki "The best available" hata kama hakikidhi mahitaji yetu.
Weka Tume huru uone balaa lake
 
Kama ni kweli safiii.

Kukopa hela za kujenga madarasa na kununua madawati ni anasa.
 
lengo lilikua anaetaka kuwa nahoja tofauti na ccm hajapata chama mbadala chakujiunga nacho,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…