Chama, mchezaji wa game ndogo anapowafunika Lilepo na Shelulile

Yani hakuna mwenye jibu...
Hapa watakuja na takataka tuu sio majibu..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enhee kwahiyo hoja yako ni nini haswa ?maana bado sijakuelewa hata mimi.
 
Agiza maembe mabichi utajikuta na mimba ya chuki za kike
 
Hiyo ndo list ya watu wanaojua soka,kama mchezaji wako hayuko hapo HAJUI SOKA
 
Hasira hasara,utakuja pasua simu bure,simu yenyewe tekno ya promosheni
 
Ila kinyesi fc mna hasira na chama hivi kwanini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]au kuongoza lisf ya top scorers ni dhambi??haya basi mumsamehe jamani
 
kwa akili yako unataka sema chama n bora kuliko makabi lepo na shelulile

una umwa wewe
Usichojua ni kwamba chama ni kiungo na hao wengine ni ma fowadi,so hawawezi fanana ila jwa kuwa chama ni bora anafanya kazi ambayo wao wenye jukumu lao la kwanza wameshindwa kufanya.by the way nyie mkajadili kombe lenu kule huku tuachieni wakubwa
 
Usichojua ni kwamba chama ni kiungo na hao wengine ni ma fowadi,so hawawezi fanana ila jwa kuwa chama ni bora anafanya kazi ambayo wao wenye jukumu lao la kwanza wameshindwa kufanya.by the way nyie mkajadili kombe lenu kule huku tuachieni wakubwa
sasa aliye shindwa jukumu ni nani
boko, baleke, phiri, ama hao kina makabi leppo

chama kabahatisha vigoli 3 kwa timu ya hovyo, hao wanafunga timu za maana bado wataka walinganishwe
 
Angeshinda mechi ya Simba na Vipers nyumbani alikuwa hana nafasi ya kwenda robo fainali?

Wewe kweli sio mwanamichezo ni shabiki andazi. Horoya angeshinda mechi dhidi ya Simba manake angekuwa na point 7 then anaenda kumalizia mchezo wa mwisho na Vipers ambapo angeshinda anakuwa na points 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…