Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Mama haleti mvua, Acha kufuruKwakweli mama anaupiga mwingi sana,amesikia kelele za wananchi juu ya mvua na amewasikiliza wananchi mwaka umenza na mvua Mbeya,Dodoma,Arusha hii haijawai kutokea na kwakweli amejitaidi pamoja na changamoto zote za covid 19 kama alivyo bainisha kwenye hotuba yake Jana.Mama ni msikivu.
Mbona umeshaanzisha hii au?!Hata mimi ninawatakia heri ya mwaka mpya watanzania wote....
Mtu mmoja akanianzishie thread na mimi wajameni
VIVA CCM, CCM NDIO CHAMA===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,
CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,
Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,
View attachment 2064932
View attachment 2064933
View attachment 2064934
Nataka nianzishiwe uzi, nami niwe maarufu kama PolepoleMbona umeshaanzisha hii au?!
Hili la mvua naunga mkono hoja. Mito imejaa maji mgao wa maji na umeme umeisha. Mitano tena kwa mama... atake asitakeKwakweli mama anaupiga mwingi sana,amesikia kelele za wananchi juu ya mvua na amewasikiliza wananchi mwaka umenza na mvua Mbeya,Dodoma,Arusha hii haijawai kutokea na kwakweli amejitaidi pamoja na changamoto zote za covid 19 kama alivyo bainisha kwenye hotuba yake Jana.Mama ni msikivu.
HAPA KAZI TU...NJE YA MADA.
Hivi,ikitokea shetani akakusalimia na kukutakia kheri,unaitikaje?
Aliongoza watu kwenye dua, vuta kumbukumbu mkuu, mama ni msikivu mvua zinanyesha sasa,tuelekeze kelele kwenye bei ya mbolea bila kujali changamoto ya covid 19 naimani ata tusikiliza.Mama haleti mvua, Acha kufuru
Nje ya madaNJE YA MADA.
Hivi,ikitokea shetani akakusalimia na kukutakia kheri,unaitikaje?
Nje ya ndani ya mada husika.Nje ya mada
Bora kuunganisha zote mbili ziitwe mumo kwa papo..." NA HAPA KAZI IENDELEE TU"...!HAPA KAZI TU...
πππππππππAhsante.
Chama kinacho hubiri amani na kusimamia amani nchi.
watanzania wanakiamini na wataendelea kukiamini hadi mwisho wa dunia.
===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,
CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,
Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,
View attachment 2064932
View attachment 2064933
View attachment 2064934
NJE YA MADA.
Hivi,ikitokea shetani akakusalimia na kukutakia kheri,unaitikaje?
Heri yako weye umetoa ya moyoni.Mimi nimeshindwa kujibu.Hatuna Shida Na Heri Za Chama Cha Mchongo