Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
- #41
Kaziiendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GoodUsiposimama na CCM utasimama na Chama gani Tanzania?
Bila CCM imara hakuna Tanzania yeyote mjue,
Heri 2022 watanzania wenzangu
Ukakataa kwa Jina la .............NJE YA MADA.
Hivi,ikitokea shetani akakusalimia na kukutakia kheri,unaitikaje?
daaahPelekeni lumumba hizo ngonjera zenu
Mwenyekiti wa CCM akiwatakia heri ya mwaka mpya wanaccm.===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,
CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,
Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,
View attachment 2064932
View attachment 2064933
View attachment 2064934