Chama Tawala nchini Tanzania Chawatakia Wananchi wake heri ya Mwaka mpya 2022

Chama Tawala nchini Tanzania Chawatakia Wananchi wake heri ya Mwaka mpya 2022

===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,

CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,

Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,

View attachment 2064932

View attachment 2064933

View attachment 2064934
Asante sana.
 
Kwakweli mama anaupiga mwingi sana,amesikia kelele za wananchi juu ya mvua na amewasikiliza wananchi mwaka umenza na mvua Mbeya,Dodoma,Arusha hii haijawai kutokea na kwakweli amejitaidi pamoja na changamoto zote za covid 19 kama alivyo bainisha kwenye hotuba yake Jana.Mama ni msikivu.
Hilo la mvua halijakaa sawa,
 
===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,

CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,

Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,

View attachment 2064932

View attachment 2064933

View attachment 2064934
Pelekeni lumumba hizo ngonjera zenu
 
Kwakweli mama anaupiga mwingi sana,amesikia kelele za wananchi juu ya mvua na amewasikiliza wananchi mwaka umenza na mvua Mbeya,Dodoma,Arusha hii haijawai kutokea na kwakweli amejitaidi pamoja na changamoto zote za covid 19 kama alivyo bainisha kwenye hotuba yake Jana.Mama ni msikivu.
Una akili kweli wewe?
 
Mkuu, mbona umeandika utadhani wewe ni raia wa England na sio wa Tanzania?[emoji16]
 
===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,

CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,

Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,

View attachment 2064932

View attachment 2064933

View attachment 2064934
Pamoja na uhalifu wote walioufanya dhidi ya matendo ya kiutu na demokrasia katika chaguzi za 2019 na 2020, kweli hawa CCM bado wanathibutu kuja na salamu kama hizi?

Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi. Kwa mpenda mabadiliko yeyote yule atazipuuzia salamu hizo labda tu CCM kwa mwaka 2022 waridhie kwa dhati suala la katiba mpya.
 
Pamoja na uhalifu wote walioufanya dhidi ya matendo ya kiutu na demokrasia katika chaguzi za 2019 na 2020, kweli hawa CCM bado wanathibutu kuja na salamu kama hizi?

Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi. Kwa mpenda mabadiliko yeyote yule atazipuuzia salamu hizo labda tu CCM kwa mwaka 2022 waridhie kwa dhati suala la katiba mpya.
CCM NDIO CHAMA TANZANIA
 
Back
Top Bottom