ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
Niushamba tuuuHeri yako weye umetoa ya moyoni.Mimi nimeshindwa kujibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niushamba tuuuHeri yako weye umetoa ya moyoni.Mimi nimeshindwa kujibu.
Shetani anakutakia kheri?Hili hata baba mchungaji,nabii na askofu Mwingira asingeweza kuitika.Unamuitika shetani?Niushamba tuuu
Upinzani Tanzania unapenda saba Petty issuesShetani anakutakia kheri?Hili hata baba mchungaji,nabii na askofu Mwingira asingeweza kuitika.Unamuitika shetani?
Upinzani yuko wapi hapo?Upinzani Tanzania unapenda saba Petty issues
Nimaneno ya kweli tupu,Usiposimama na CCM utasimama na Chama gani Tanzania?
Bila CCM imara hakuna Tanzania yeyote mjue,
Heri 2022 watanzania wenzangu
Asante sana.===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,
CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,
Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,
View attachment 2064932
View attachment 2064933
View attachment 2064934
Hilo la mvua halijakaa sawa,Kwakweli mama anaupiga mwingi sana,amesikia kelele za wananchi juu ya mvua na amewasikiliza wananchi mwaka umenza na mvua Mbeya,Dodoma,Arusha hii haijawai kutokea na kwakweli amejitaidi pamoja na changamoto zote za covid 19 kama alivyo bainisha kwenye hotuba yake Jana.Mama ni msikivu.
Pelekeni lumumba hizo ngonjera zenu===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,
CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,
Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,
View attachment 2064932
View attachment 2064933
View attachment 2064934
UmerogwaUsiposimama na CCM utasimama na Chama gani Tanzania?
Bila CCM imara hakuna Tanzania yeyote mjue,
Heri 2022 watanzania wenzangu
Una akili kweli wewe?Kwakweli mama anaupiga mwingi sana,amesikia kelele za wananchi juu ya mvua na amewasikiliza wananchi mwaka umenza na mvua Mbeya,Dodoma,Arusha hii haijawai kutokea na kwakweli amejitaidi pamoja na changamoto zote za covid 19 kama alivyo bainisha kwenye hotuba yake Jana.Mama ni msikivu.
Washaanza kufuru zao soon utasikia yeye na yesu ni nduguMama haleti mvua, Acha kufuru
Huna akiliVIVA CCM, CCM NDIO CHAMA
Inabidi ujiangalie mara mbili vinginevyo anakutafuna mzima mzima maana shetani hana rafiki kama ccmNJE YA MADA.
Hivi,ikitokea shetani akakusalimia na kukutakia kheri,unaitikaje?
Hata Mimi najiuliza mara mbili mbili kupokea salamu ya Ibilisi.NJE YA MADA.
Hivi,ikitokea shetani akakusalimia na kukutakia kheri,unaitikaje?
Kwani JF wote wanaishi Tanzania?Mkuu, mbona umeandika utadhani wewe ni raia wa England na sio wa Tanzania?[emoji16]
Pamoja na uhalifu wote walioufanya dhidi ya matendo ya kiutu na demokrasia katika chaguzi za 2019 na 2020, kweli hawa CCM bado wanathibutu kuja na salamu kama hizi?===
Chama Cha Mapinduzi Tanzania ambacho ndio Chama Tawala cha nchi hiyo kimewatakia heri Wananchi wa nchi hiyo katika kuufika mwaka mpya wa 2022,
CCM chini ya Mwenyekiti wake Mhe Samia Suluhu Hassan ambae pia ni amiri Jeshi mkuu na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimewatakia heri raia wote wa Tanzania bila kujali itikadi za vyama vyao,
Watanzania endeleeni kuiunga mkono CCM-Tanzania ili kuwa na Tanzania imara itakayojenga hatma njema ya Watoto wa watoto wetu,
View attachment 2064932
View attachment 2064933
View attachment 2064934
CCM NDIO CHAMA TANZANIAPamoja na uhalifu wote walioufanya dhidi ya matendo ya kiutu na demokrasia katika chaguzi za 2019 na 2020, kweli hawa CCM bado wanathibutu kuja na salamu kama hizi?
Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi. Kwa mpenda mabadiliko yeyote yule atazipuuzia salamu hizo labda tu CCM kwa mwaka 2022 waridhie kwa dhati suala la katiba mpya.
Umemjibu vizuri SanaMama haleti mvua, Acha kufuru
ni ishara tuu unaweka dole! Kama aliweka gumba we unaweka lasentaNJE YA MADA.
Hivi,ikitokea shetani akakusalimia na kukutakia kheri,unaitikaje?