Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Utafutwa muda si mrefu. Ni kuumbuliwa CCM.Uzi hauna muda huu
Ni furaha ilioje? Hahahaha, wananchi wenye akili wamekamata magari ya kura fake wakachoma na kulinda NEC yao!
Sasa Edgar Lungu anasema uchaguzi haukua haki wala huru. CCM ya Zambia inahaha.
Polisi Tanzania ndio wanaisaidia CCM kubaki madarakani
Hahahaha relax, relax, relax! Life has much to offer than this stupid commentFoolishly, it is UNIP - Independence Party, - Kaunda.
Patriotic Front - Chiluba Party
Which one is Independence party. You lie for self fulfilling.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni furaha ilioje? Hahahaha, wananchi wenye akili wamekamata magari ya kura fake wakachoma na kulinda NEC yao!
Sasa Edgar Lungu anasema uchaguzi haukua haki wala huru. CCM ya Zambia inahaha.
Polisi Tanzania ndio wanaisaidia CCM kubaki madarakani
Hahahaha unfair erectionBanda was misquoted.
He actually meant his own erection (not election) was not fair.
Kwamba chama tawala licha ya kuwa na jeshi,polisi,TISS,tume ya uchaguzi,mgambo na kadhalika wameibiwa kura?πππ
Sahau,mm sio ccm lakini hakuna kijana TANZANIA jasiri hata mmojaHapa ccm inasubiri tumwage damu hii habari Chanel ten wanaitangaza muda huu Safi Sana huu wembe unaisubiri ccm