Champion Investment matapeli Mwanza

Champion Investment matapeli Mwanza

Ukitazama lile groupnla whatsap,toka lianze hawajawahi kulifungua watu wakawahoji,wanakuletea video ya Uganda,haieleweki
 
Kwangua ushinde, maisha ni rahisi sana.... pole sana CHAMPION usichoke jaribu tena.
 
Habari za kazi wanajamvi.

Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.

Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.

Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.

Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.

View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291
Mkuu , hawa ukienda nao mahakaman wanakushinda , wao n washauri wa maswala ya biashara kwa mujibu wa leseni yao...na wanaweza simamia hapo hapo na wakadai ulicholipa ni Fee ya kupata huduma yao , yaani ushauri wa kibiashara na sii vinginevyo

Uweze kuwashinda , jitahidi ukusanye taarifa za kutosha pamoja na viambatanisho nyenye mihuri na sahihi zao ..mf mikataba ya makubaliano et et

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu , hawa ukienda nao mahakaman wanakushinda , wao n washauri wa maswala ya biashara kwa mujibu wa leseni yao...na wanaweza simamia hapo hapo na wakadai ulicholipa ni Fee ya kupata huduma yao , yaani ushauri wa kibiashara na sii vinginevyo

Uweze kuwashinda , jitahidi ukusanye taarifa za kutosha pamoja na viambatanisho nyenye mihuri na sahihi zao ..mf mikataba ya makubaliano et et

Sent using Jamii Forums mobile app

Muda wote huo wanakua wamepewa shtaka la uhujumu uchumi mpk washinde kesi ni miaka 4 wakiwa ndani.
 
Hata hiyo SMS ya Mpesa ya 800k iko edited..tena kishamba

~neno salio ametumia herufi ndogo badala ya herufi kubwa- Salio
~neno Imethibitishwa limewekewa nukta
~mfumo original wa SMS ya Mpesa ya wakala sio huo
~(SMS hii iko kichwa chini miguu juu)

Pole.

Cha mjinga huliwa na mwerevu.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kujidhalilisha mkuu nimeandika kuwatahadharisha wengine lakini pia wahusika wajue kuwa sitakaa kimya nakula nao sahani moja mpaka kieleweke.
Huna lolote wewe!/tulia tu
 
Hapa ndiyo maajabu yanaanza niliona tu namba yangu imeunganishwa kwenye group lao. Nadhani Kuna mahali wanapewa namba za wateja wanaofanya miamala Mara kwa mara.
Sasa hapo ndo tabu Ni PM
 
Craig ingekuwa pesa inapatikana kirahisi hivyo watu wasingefanya kazi...

Jr[emoji769]
Wapenda kitonga lazima wapigwe
Hakuna Hela rahisi rahisi lazimaaaa uumieeee
Tunapigika ila jioni lazima nkae kiti kirefu

Ova
20200117_182024.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom