Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Mheshimiwa Rais Dkt. John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mheshimiwa Rais Dkt John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rais Muumini thabiti wa Imani yake
Mola akupe barka za kuweza kuongoza vyema Taifa lako
Mwisho wake alizikwa na watu 8 tu ugenini.Waislamu waliamini mtu Kama Idd Amin akienda kuhiji harudi.
Mwamba akaenda, akahiji akarudi akaendeleza sera zake huku akiitwa aliaji general Idd Amin.
Uko wapi tukupatie huduma ya kwanza.I can't breath kwa kweli
Njoo hapa chobingoz napiga gahawa mzee babaUko wapi tukupatie huduma ya kwanza.