Chamwino, Dodoma: Rais Magufuli apokea Sakramenti Takatifu leo Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imakulata

Chamwino, Dodoma: Rais Magufuli apokea Sakramenti Takatifu leo Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imakulata

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Mheshimiwa Rais Dkt. John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"

FB_IMG_16048266460302720.jpg
FB_IMG_16048266183689062.jpg
FB_IMG_16048278996418688.jpg
FB_IMG_16048278927912272.jpg
FB_IMG_16048278874521991.jpg
FB_IMG_16048278636001135.jpg
FB_IMG_16048278578919011.jpg
FB_IMG_16048278796158569.jpg
 
Natamani Sana kwenda kusali misa kwenye kanisa hilo
 
Kuna Jipya Leo Ama Nini Tena?😏😐🤨😑😶🤔
 
Umeshawahi kuona Padre mlemavu wa viungo au Padre mfupi?
Mapadre tunawajua vizuri sana.
 
Kumbe najizuiaga bure kwenda kukomunika aisee! Mapadre wanatishaga sana bwana, Mara sijui huruhusiwi ukiwa hivi mara vile, sijui unakula hukumu nk nk. Mbona huyu yupo vile na hivi na amekomunika?


Ekarsti Takatifu kifungo Cha umoja na upendo
 
Back
Top Bottom