Thank you.
Ila sijawahi kuona mfupi tuseme Kama yule liquid mlevi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you.
Unajua mwanamke anae andika vitu vilivyoenda shule lazima atakua na figa iliyoenda shuleHaaaaa kwanini mzee Baba huongei kitu🤔
Huyo anakula mkate wala siyo Komunyo hiyo! Maana tunaambiwa ujipime kama unastahili kupokea kutokana na hali yako kosefu au umeshajiandaa! Huyu shetwani naomba nimuhukumu hapa hapa maana mikono yake inanuka damu anaenda kukomunika nini hapo?Mheshimiwa Rais Dkt John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"
View attachment 1622076View attachment 1622077View attachment 1622084View attachment 1622085View attachment 1622086View attachment 1622089View attachment 1622090View attachment 1622087
Tumwache tu mkuu achukue dhambi zaidi! Huyu kwa mapadre wakorofi wangemwungamanisha kwa nguvu!Kumbe najizuiaga bure kwenda kukomunika aisee! Mapadre wanatishaga sana bwana, Mara sijui huruhusiwi ukiwa hivi mara vile, sijui unakula hukumu nk nk. Mbona huyu yupo vile na hivi na amekomunika?
Ekarsti Takatifu kifungo Cha umoja na upendo
Nilichoona anaona aibu mbele za watu vile asipoenda kukomunika watu watamuelewaje?Tumwache tu mkuu achukue dhambi zaidi! Huyu kwa mapadre wakorofi wangemwungamanisha kwa nguvu!
😂😂😂😂😂Mwisho wake alizikwa na watu 8 tu ugenini.
Unamjua monsignor mbiku??Thank you.
Ila sijawahi kuona mfupi tuseme Kama yule liquid mlevi
Rais ni mkatoliki safi naMheshimiwa Rais Dkt John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"
View attachment 1622076View attachment 1622077View attachment 1622084View attachment 1622085View attachment 1622086View attachment 1622089View attachment 1622090View attachment 1622087
Mhutu anakula laana yake mwenyewe. Mungu adhihakiwi.Mheshimiwa Rais Dkt John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"
View attachment 1622076View attachment 1622077View attachment 1622084View attachment 1622085View attachment 1622086View attachment 1622089View attachment 1622090View attachment 1622087
Ni habari kwa udhalimu alioufanya kwa Taifa. Huwezi kujifanya mnyenyekevu mbele ya Mungu kiasi hicho huku umeingia madarakani kwa wizi wa kura na kumwaga damu nyingi za raia wasio na hatia.Rais ni mkatoliki safi na
kama alijianda kiroho kupokea ekaristi takatifu wewe unachoshangaa ni nini? Na walipokea humo ni waumini wengi tu kwa nini Rais ndio awe habari.
Serikali ya Tanzania ni serikali isiyofuata dini yoyote.Mheshimiwa Rais Dkt John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"
View attachment 1622076View attachment 1622077View attachment 1622084View attachment 1622085View attachment 1622086View attachment 1622089View attachment 1622090View attachment 1622087
Kwa maigizo haya, mhutu anakula Ekaristi kama chips dume ilimradi apigwe pichaAMEUNGAMA...Akatubu???
Au "anabugia" tu?
Anza na hao watu wanaopiga picha kanisani. Mbona kanisani kwingine hawaendi kupiga picha.Serikali ya Tanzania ni serikali isiyofuata dini yoyote.
Tanzania is a secular state.
Kwa nini mnajaza habari za rais kanisani hapa?
Kwa kuendekeza picha kama hizi, Waislamu na watu wengine wasio Wakristo wakianza kulalamika kwamba Tanzania inaongozwa kwa MfumoKristo mtakataa?
Mwizi akishaiba mara nyingi anakimbilia kanisani au msikitini kutubu na kusafisha jina.Anza na hao watu wanaopiga picha kanisani. Mbona kanisani kwingine hawaendi kupiga picha.
What image do they want to portray. What are they telling the world?
Maandiko yanatuambia kuwa kuna shetani anayejifanya malaika wa nuru. Angekuwa na imani thabiti angesita kujongea altare ya Bwana sababu mikono yake imejaa damu zisizo na hatiaMheshimiwa Rais Dkt John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"
View attachment 1622076View attachment 1622077View attachment 1622084View attachment 1622085View attachment 1622086View attachment 1622089View attachment 1622090View attachment 1622087