tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hili kanisa limebaki kumsifu na kumruhusu kupanda madhabahuni kuongea uwongo wake,yani yamenajisi kanisa katolikiHivi huyu Padre, ripoti za watu kudhulumiwa haki, kupigwa risasi za Moto na kuuawa kule Pemba hajazipata?
Kweli kabisa ndani ya moyo wake anaauamini huu ushindi wa kina Gwajima?