Uzuri katika Imani Katoliki Unajipima Mwenyewe Rohoni mwako Kama Unastahili Kupokea Mwili Na Damu ya Yesu katika Hostia Takatifu.Kumbe najizuiaga bure kwenda kukomunika aisee! Mapadre wanatishaga sana bwana, Mara sijui huruhusiwi ukiwa hivi mara vile, sijui unakula hukumu nk nk. Mbona huyu yupo vile na hivi na amekomunika?
Ekarsti Takatifu kifungo Cha umoja na upendo
Mwizi wa KURA!Mheshimiwa Rais Dkt John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"
View attachment 1622076View attachment 1622077View attachment 1622084View attachment 1622085View attachment 1622086View attachment 1622089View attachment 1622090View attachment 1622087
Bushmamy you know kwako siongei kitu.Njoo hapa chobingoz napiga gahawa mzee baba
Hapo alipo roho nyeusi kama mkaa. Unafiki mtupu hata huyo kiongozi wa kiroho anaemuongoza wote wanafiki mbele ya mungu wao.
Ananuka damu za watu, ipo siku atashukiwa vibaya sana na unafki wake.Rais Muumini thabiti wa Imani yake
Mola akupe baraka za kuweza kuongoza vyema Taifa lako
Mwamba ana mwisho mmbaya sana.Angali kuna watu wana msiba na wengine rumande,hiyo ekarist iende ikamalize kazi.
Mungu hadhihakiwi.
Mungu hampunguzii mtu dhambi kwa kujipeleka kanisani uonekane,matendo yake heri angekua anasali kwa gwajima....damu na roho za watu zitamtafuna tuMheshimiwa Rais Dkt John Magufuli amepokea Sakramenti hiyo takatifu Kutoka kwa Padre Paul Mapalala wakati wa Misa ya Dominika ya 32 Mwaka "A"
View attachment 1622076View attachment 1622077View attachment 1622084View attachment 1622085View attachment 1622086View attachment 1622089View attachment 1622090View attachment 1622087
Huyo anazidi wote duniani kwa dhambi alizonazoNebkadneza aliagiza vyombo toka nyumba ya Bwana ili avitumie kwa ulevi, huyu hajafikia hata nusu yake.
Mbona wapoUmeshawahi kuona Padre mlemavu wa viungo au Padre mfupi?
Mapadre tunawajua vizuri sana.
Alijaza mafuta kwanza kwenye taa yake.AMEUNGAMA...Akatubu???
Au "anabugia" tu?
Very interesting!Waislamu waliamini mtu Kama Idd Amin akienda kuhiji harudi. Mwamba akaenda, akahiji akarudi akaendeleza sera zake huku akiitwa aliaji general Idd Amin.
Haaaaa kwanini mzee Baba huongei kitu🤔Bushmamy you know kwako siongei kitu.