Kwa jinsi nilivyoona inabidi Starz wacheze mpira wa chini. Hawa jamaa wanachokifanya ni kutumia Senegal brand kuwatisha vijana wetu. Wasenegal wanakaba watatuwatatu. Ila Nafasi ipo ya kurudisha na hata kuwafunga kama vijana watacheza mpira wao na si kuwafuata hawa jamaa
Kick the ball as far forward as you can and hope for the best. That seems to be our strategy. When was the last run down the wing or build up in the middle. We can't even keep possesion of the ball. This is terrible football.