CHAN Finals: Live from Ivory Coast

CHAN Finals: Live from Ivory Coast

...kaka, hili tatizo linaanzia chini zaidi kuliko kiwango cha Maximo, tulikuwa na kina Mwinga Mwanjala, kina Nzael Kyomo, Zakayo Mwarekwa, kina Filbert Bayi, Nyambui na Shahanga huko kwenye Riadha,...hao wote walikuwa wanamichezo walotokea kwenye chimbuko la UMISETA, leo hii hebu taja mwanariadha hata mmoja ambaye hata akija Michael Johnson (400m world record holder) anaweza kutusaidia?

kwenye masumbwi tulikuwa na kina Emmanuel Mlundwa, Benjamin Mwangata, Isangura bros, Makoye na Willy, tulikuwa na kina Nassor Michael, Aloyce Ng'itu, familia ya kina Matumla... wengi wao walitokea Arnatouglo Hall, leo hii hatuna hata bondia mwenye kiwango hata cha kutuletea medali kwenye All african games... wapi michezo ya Majeshi?
Mkuu Mbu, nimependa uchambuzi wako; kwa ufupi yote yanachangiwa na "lack of determination" ambayo chanzo chake ni ubinafsi miongoni mwetu na ujinga katika kutambua vigezo vya mafanikio.

Mara nyingi Mtanzania hafikirii zaidi ya "mimi nitafaidikaje" linapokuja suala la kutekeleza kazi fulani, sikatai kwamba hili ndio lengo kubwa la kufanya kazi. Lakini kibaya zaidi, hata akigundua nafasi ya yeye kufaidika, ubora wa utendaji wake anausitisha pale anapogundua kwamba ameshafaidika (tena kwa kigezo cha kijinga kwamba wale "aliotaka wamuone" tayari taarifa wanayo). "Simple mind" ya wengi wetu ndio tatizo kubwa kwa maendeleo ya Tanzania; mfano, jaribu kufikiria mchango ambao ungetolewa na Athumani Iddi na Haruna Moshi katika mechi ya leo kama wangekuwepo katika timu! Nina hakika ukifatilia kutokuwepo kwao kwenye timu utakuta ni sababu ambayo haitofautiani na niliyoongea hapo juu. Sababu hiyo hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa wachezaji wetu wasiweze kupata timu katika nchi za Magharibi; hatujiwekei malengo na hata tunapofanya hivyo tunaishia kubweteka kwa vigezo vya kipumbavu sana!

Bado tunahitaji mageuzi makubwa sana kifikra toka kwa mwananchi wa kawaida mpaka watendaji.
 
Tulieni jamaani. Kunahabari mchezaji mmoja wa Zambia katesti positive kwa kutumia madawa ya nguvu huko Ivory Coast. Nafuatilia hili na waandishi wa habari wa Ivory Coast. Stay tune!
 
Tulieni jamaani. Kunahabari mchezaji mmoja wa Zambia katesti positive kwa kutumia madawa ya nguvu huko Ivory Coast. Nafuatilia hili na waandishi wa habari wa Ivory Coast. Stay tune!

Unataka kusema tutapata nafasi kwa kupitia dirishani?.
 
Caf plans to expand CHAN
By Ibrahim Sannie
BBC Sport, Bouake
The Confederation of African Football (Caf) says that the number of teams taking part in the African Nations Championship (CHAN) will be increased from eight to sixteen from the next edition.

The maiden edition of the competition - meant only for home-based players - is currently being held in the Ivory Coast, with the 2011 tournament slated for Sudan.

"Caf has agreed to increase the number of the teams in the CHAN to 16 from the next edition in Sudan," Caf director of communications Suleiman Habuba told BBC Sport.

"A lot of federations were hesitant when the tournament was launched (in 2007) but they have changed their minds and now want to play in it."

Habuba said the decision would help raise the quality of the local leagues in countries and make games in the tournament more meaningful.

"The standard of play since this edition started last week has positively surprised many people about the standard of the leagues in Africa," Habuba said.

"So we think it is the right time and opportunity to cater for more teams and help the league to grow further.

"The expansion will add excitement and relevance to more group matches at each tournament from the next edition," he added.

The CHAN is played between national teams, but only players who are based in their home country's domestic league are be eligible.

Stars playing in Europe and even those who have moved to other African leagues are not be allowed to take part.

The tournament is being held every two years.
 
Tulieni jamaani. Kunahabari mchezaji mmoja wa Zambia katesti positive kwa kutumia madawa ya nguvu huko Ivory Coast. Nafuatilia hili na waandishi wa habari wa Ivory Coast. Stay tune!

Dah, kwanini Zambia???, wangepatikana +ve waSenegali maana waZambia na Sisi ni wamoja na ni majirani hamna tofauti. sasa hivi nishahmia kushabikia Zambia.
 
Ghana na Kongo (DRC) Kinshasa ndio watakipiga fainali.

Ghana and DRC in to CHAN final

DR Congo and Ghana will meet in Abidjan in Sunday's final of the first-ever African Nations Championship.

Ghana were the first team into the final after beating Senegal on penalties in the Ivorian city of Bouake, while in Abidjan DR Congo beat Zambia 2-1.

Substitute Kwadwo Poku scored the winning penalty for Ghana in the lengthy shoot-out, which his side won 7-6, after the game ended 1-1.

With a capacity crowd of 25,000 packed into the Stadium of Peace, Ghana opened the scoring after Yaw Antwi tapped in on 31 minutes after Rahim Ayew broke free down the left and crossed for his colleague.

Although Ghana were looking the better side, Senegal equalised just four minutes later as Alpha Oumar Sow pounced from six yards as a free-kick came off the wall.

Ten minutes from time, Ghana's Harrison Afful thought he might have won it with a fine 20-yard strike but Senegal goalkeeper Mamadou Ba pulled off a terrific save.

After extra-time ended with no further goals, it went to penalties.

The first man to crack under the pressure was Senegalese midfielder Vito Badiane, whose effort was well saved by Philemon MacCarthy.

That just left Poku to step up and slot home to the delight of his team-mates.

DR Congo stormed into a 2-0 lead over Zambia before a small crowd at Abidjan's Felix Houphouet-Boigny Stadium.

Zambia keeper Davy Kaumbwa was caught off guard in the second minute and allowed a speculative long-range shot from Congolese captain Bongeli Lofo to find the net.

Lofo turned provider for the second goal scored by Dioko Kaluyituka on 16 minutes.

Zambia then dominated the second half but they could not reduce arrears until five minutes from full-time, when Given Singuluma headed home.

Senegal and Zambia will meet in the third place play-off on Saturday, also in Abidjan.
Source: BBC SPORT | Football | African | Ghana and DRC in to CHAN final
 
Back
Top Bottom