Changamoto anayopitia Rayvanny, wacha sasa apambane mwenyewe

Changamoto anayopitia Rayvanny, wacha sasa apambane mwenyewe

Gan star

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
379
Reaction score
982
Jana niliandika Uzi kumhusu rayvanny, kuanzia support aliyopata Kwa Diamond , behind the scenes ya hyo backup , na nikaunganisha pia Kwa harmonize jinsi ambavyo wote Kwa pamoja mond aliwabeba na kuwatambulisha vyema ...!!

Harmonize akaona isiwe tabu ikabd ajikate, njia aliyopitia sio rahsi hata kidogo , ni njia ngumu yenye giza nene , hata kusikika kwake sasa angalau kuelea kwenye peak amefika Kwa gharama kuu .... Uzuri wa harmonize ni mtu wa Wana sana , Yani msela fulan hv ambaye watu wa vijiwe na kitaa wanamuelewa , ana swaga hata Kwa presenters na Kiki za hapa na pale , kiukweli imemsaidia kutrend

Nikarudi Kwa Rayvanny kijana wa Mbeya Kwa walima viazi , wapo wanaomsifu kuwa ni kijana wa heshima mara ooh mstaarabu , ukweli ni kuwa Rayvanny ana majivuno , dharau na kujiona kwingi , sio mtu wa Wana na masela , ameegemea Sana Kwa jinsia ya kike, na Kwa vile b4 alikuwa na strong backup ya Mond hii ilimbeba Sana , yaani diamond akifanya sarakasi zake za Kiki , na uhuni wake , automatically alikuwa anambeba pia dogo kutrend....

Sasa amejiachia , ni kweli ni Jambo sahihi Ila Kwa namna alivyo naona kama ni wrong move...!! Hana ngozi ngumu ya kupitia mashutumu , Kiki , kutoa mawe ya kubang , kuroga Sana na uhuni mwingi , yupo yupo tuuu , na Kwa sasa hajui hata afanye nini , kufanya kolabo na wasanii wasioeleweka , kutoa nyimbo boko , pelepele washa ndo nini sasa , matokeo yake wimbo haujaenda mjini , media karbia zote ni kama zimemsusia , rayvann anapost Instagram Kwa masaa matano replies ni 40+ hii haijawahi tokea , dogo ni mlaini Sana

Ukweli dogo yupo kwenye alarming rate , hajachelewa kuzinduka na kuona something is wrong , unatafuta machawa akina Mr Pimbi daah.... Hyo next level hata haieleweki , macvoive naye yupo yupo tuuu .....

Naamini bado ana nafasi ya kujipanga kabla hajatumbukia shimoni, Kwa jinsi mziki wetu ulivyo ni impossible kuwa katikati alaf ufikr utatoboa , lazima uchague upande, vinginevyo akubali kuwa average.... Na asipoangalia hyo lebel yake itakuwa kijiwe cha kupigia soga na slay qeen akina Paula.
 
Ni mwanzo tu,kama ameweza kulipa bilioni moja Ili kuvunja mkataba,hatashindwa kujipanga na kuendelea,inabidi sasa hv atafute identity yake mwenyewe,maana siku zote amekuwa chini ya mbawa za wasafi,it is difficult but possible,
Hawa washabiki uchwara wa WCB wanacho omba ni V-boy kushindwa ili iwe furaha kwao mwisho atakuja kuwatia aibu Kama mwana wa Mtwara
 
Maisha haya mmhh[emoji848][emoji848]
 
Jana niliandika Uzi kumhusu rayvanny, kuanzia support aliyopata Kwa Diamond , behind the scenes ya hyo backup , na nikaunganisha pia Kwa harmonize jinsi ambavyo wote Kwa pamoja mond aliwabeba na kuwatambulisha vyema ...!!

Harmonize akaona isiwe tabu ikabd ajikate, njia aliyopitia sio rahsi hata kidogo , ni njia ngumu yenye giza nene , hata kusikika kwake sasa angalau kuelea kwenye peak amefika Kwa gharama kuu .... Uzuri wa harmonize ni mtu wa Wana sana , Yani msela fulan hv ambaye watu wa vijiwe na kitaa wanamuelewa , ana swaga hata Kwa presenters na Kiki za hapa na pale , kiukweli imemsaidia kutrend

Nikarudi Kwa Rayvanny kijana wa Mbeya Kwa walima viazi , wapo wanaomsifu kuwa ni kijana wa heshima mara ooh mstaarabu , ukweli ni kuwa Rayvanny ana majivuno , dharau na kujiona kwingi , sio mtu wa Wana na masela , ameegemea Sana Kwa jinsia ya kike, na Kwa vile b4 alikuwa na strong backup ya Mond hii ilimbeba Sana , yaani diamond akifanya sarakasi zake za Kiki , na uhuni wake , automatically alikuwa anambeba pia dogo kutrend....

Sasa amejiachia , ni kweli ni Jambo sahihi Ila Kwa namna alivyo naona kama ni wrong move...!! Hana ngozi ngumu ya kupitia mashutumu , Kiki , kutoa mawe ya kubang , kuroga Sana na uhuni mwingi , yupo yupo tuuu , na Kwa sasa hajui hata afanye nini , kufanya kolabo na wasanii wasioeleweka , kutoa nyimbo boko , pelepele washa ndo nini sasa , matokeo yake wimbo haujaenda mjini , media karbia zote ni kama zimemsusia , rayvann anapost Instagram Kwa masaa matano replies ni 40+ hii haijawahi tokea , dogo ni mlaini Sana

Ukweli dogo yupo kwenye alarming rate , hajachelewa kuzinduka na kuona something is wrong , unatafuta machawa akina Mr Pimbi daah.... Hyo next level hata haieleweki , macvoive naye yupo yupo tuuu .....

Naamini bado ana nafasi ya kujipanga kabla hajatumbukia shimoni , Kwa jinsi mziki wetu ulivyo ni impossible kuwa katikati alaf ufikr utatoboa , lazima uchague upande , vinginevyo akubali kuwa average.... Na asipoangalia hyo lebel yake itakuwa kijiwe cha kupigia soga na slay qeen akina Paula

ni ushauri tuu , lakini akiwastua nyie moderator akawaomba muufute , bas ufuteni tena na huu
Dahh!! Nchi hii aisee?!!
 
Ni mwanzo tu,kama ameweza kulipa bilioni moja Ili kuvunja mkataba,hatashindwa kujipanga na kuendelea,inabidi sasa hv atafute identity yake mwenyewe,maana siku zote amekuwa chini ya mbawa za wasafi,it is difficult but possible,
Hivi billion moja nyie wenzetu mnaichukuliaje?
 
Back
Top Bottom