Changamoto gani utakutana nazo kwa kuoa au kuishi na Mwanamke mwenye mtoto?

Ngoja wenye uzoefu waje...

Kuna kero moja ambayo sana huletwa na mwanamke, unapata bado anataka baba mzazi aendelee kuhudumia mwanaye...kitu kinachopelekea mwanamama kuwa karibu sana na ex wake...
Hapo shida ni gani sasa[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
 
Acha uchoyo.
 

cc Habun
 
Swali gani hilo sasa! Mtoto huwa na baba wangapi?

Yaani huwezi ishi kwa mwanaume huyu ukiwa na mtoto wa mwanaume yule, halafu mtoto huyo anaendelewa kuhudumiwa na mwanaume yule...

Chagua moja, mtoto awe wa baba huyu au baba yule...

Sio baadhi ya matunzo unasema haya ni ya baba huyu, na matunzo mengine yanakuwa ya baba yule...
 
Muache ubinafsi
Sio ubinafsi ndo ukweli huo,
Kwani wewe hujawahi kujiuliza ni kwanini inawezekana mwanamume mmoja anaweza kuoa wake 2+ lakini hujawahi ona mwanamke mmoja kaolewa na wanaume 2+ (hapa naongelea ndoa).

Maanayake kama mwanaume anaweza kuoa wanawake zaidi ya mmoja kwahiyo mwanaume huyo hata akiwa singo faza wala sio big deal singo faza kuoa mwanamke tena mmoja.
 
USIJE UKAJARIBU KUFANYA IVYO TAFUTA MWANAMKE MWINGINE MBICHI

kwa herufi kubwa nakusisitiza achana nae labda umzalish usimuoe utakuja kulia kwanza wanawake wakishazaa wanakuwa na confidenc za kishamba kujiona ,roho mbaya zinaanza

Huyo jamaa yake atakuja kurudiana naye mda wowote na wewe watakuona kama panya tu kuepuka dharau na kiburi unaweza kuja kuua mtu bure
 
Hiyo yote ili?
 
Nimeilewa sana
 
Mi nikutane n mwanamke afu aanze stori mwanangu anaumwa nampotezea
 

Baba wa mtoto amefariki?
Kama ni mzima atarndelea kupasha kiporo kwa hiyo jiandae kisaikolojia kabisa!
Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuwakatalia mbususu wazazi wenzao!
Jiandae kulazimishwa kumhudumia mtoto kama vile wewe ndio uliyechangia mbegu na kumpenda kilazima!
Mapenzi yote na akili zote za mama zinakuwa kwa mtoto sio wewe!
Hivi kweli una shida gani mpaka uende kuparamia wanawake wenye watoto na uweke ndani?

Usiombe kukutwa na bwana pepsi!
 

Baba wa mtoto amefariki?
Kama ni mzima atarndelea kupasha kiporo kwa hiyo jiandae kisaikolojia kabisa!
Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuwakatalia mbususu wazazi wenzao!
Jiandae kulazimishwa kumhudumia mtoto kama vile wewe ndio uliyechangia mbegu na kumpenda kilazima!
Mapenzi yote na akili zote za mama zinakuwa kwa mtoto sio wewe!
Hivi kweli una shida gani mpaka uende kuparamia wanawake wenye watoto na uweke ndani?

Usiombe kukutwa na bwana pepsi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…