Changamoto gani utakutana nazo kwa kuoa au kuishi na Mwanamke mwenye mtoto?

Changamoto gani utakutana nazo kwa kuoa au kuishi na Mwanamke mwenye mtoto?

Tulisha kubaliana hapa ndani na wajumbe wakapitisha sheria kwamba hakuna kuona...

Hahahaa haya makubaliano ya jukwaani tuu babu
Huko waliko wanafanya yao wanayoyapenda.... na wewe fanya yako. Wasikilizie tuu kwa mbaaali😆😆😆
 
Kama waweza epusha kuishi na mtu Mwenye mtoto Ni Jambo gumu Sana, wazazi kuachana kabisa Ni ngumu Sana, labda mjane
Kuna mtu humu aliwahi kuandika...."ili nimuoe single mom basi anioneshe kaburi la mme wake" 😁
 
Wakati nakutana naye we were like ok we will just be fvck buddies at that point her kid was four months old. A month after FWB started she told me she thinks the FWB degrades her so let's have a relationship.

As a nigga I couldn't throw away my chances of smashing a fine nyau so I agreed. Fast forward a year later dogo amekua anaongea na mtu anayemuona na mama yake ni mimi so lil nicca called me daddy. Baba yake mzazi alikua ameisusa familia so nilikua ni provider since akiwa na miezi sita hivi.

Dogo akakua mpaka miaka 2 hapa sasa mzee wake akaja kutaka mtoto binafsi naamini wanaume hatupotezei watoto wetu kwa kupenda so sijawahi kua against interests za mshkaji anapokua anamtaka mwanae. So nilivyoambiwa anataka mtoto aende nikasema aende, mtoto kufika alivyoonyeshwa
Unakunywa kinywaji gani kaka?

Umemaliza yote!!!!!
 
Kama wewe ni mwanamke na umekutana na mwanaume anasema hawezi kumheshimu mwanamke mwenye mtoto ila anakuheshimu wewe kwakua hauna mtoto kua makini naye coz it's either he respects all women or he doesn't womanhood is not binary.
 
Wazoefu tupo hapa ngoja niwaletee uzi jinsi ya kumfanya mtoto wa jamaa amsahau baba yake ila awe chini ya miaka mitatu
 
Hivi ni rahisi hivyo mtu kumpotezea mtoto wake mazima?
kuoa mwanamke mwenye mtoto hapo kuna mawili..
1. Baba mtoto achague kutomuona tena mtoto wake na athibitishe hilo kwa baba mlezi.
2. Amchukue mtoto wake amlee yeye
 
Hivi ni rahisi hivyo mtu kumpotezea mtoto wake mazima?
Sasa kama baba mzazi wa mtoto hataki kukaa na mtoto wake mimi nifanyeje?
Ndo maana hua siwashangai wanaosema "kuoa singo maza mpaka waonyeshwe kaburi la baba mzazi wa mtoto"
 
Mzazi yoyote ana haki ya kukaa na mtoto wake. Sawa baba mzazi kaamua kumchukua mtoto wake; ina maana mama yake (mkeo), na yeye aka-sign kutokumuona mtoto wake tena?

Hata sisi wanawake tunaambiana siku hizi " ukitaka kuolewa na singo faza, hakikisha kakuonesha kaburi la mama wa mtoto wake". Mapungufu na changamoto za singo mazas; nyingi na singo fazas wanazipitia vilevile
Sasa kama baba mzazi wa mtoto hataki kukaa na mtoto wake mimi nifanyeje?
Ndo maana hua siwashangai wanaosema "kuoa singo maza mpaka waonyeshwe kaburi la baba mzazi wa mtoto"
 
Mzazi yoyote ana haki ya kukaa na mtoto wake. Sawa baba mzazi kaamua kumchukua mtoto wake; ina maana mama yake (mkeo), na yeye aka-sign kutokumuona mtoto wake tena?

Hata sisi wanawake tunaambiana siku hizi " ukitaka kuolewa na singo faza, hakikisha kakuonesha kaburi la mama wa mtoto wake". Mapungufu na changamoto za singo mazas; nyingi na singo fazas wanazipitia vilevile
Vice versa is not true.
 
Back
Top Bottom