Changamoto katika mfumo wa ajira jeshi la Zimamoto

Changamoto katika mfumo wa ajira jeshi la Zimamoto

KingPower

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
1,115
Reaction score
1,807
Habari wakuu poleni na majukumu

Niende moja kwa moja kwenye madam kama ilivyoainishwa hapo Juu

Nina siku ya 3 Leo Kila nikijaribu Kumsaidia Mdogo Wangu kuomba hizi Nafasi za ajira zilizotangazwa na Jeshi la zimamoto inashindikana,

Maana hata log in / sign up inagoma kufunguka, sasa sijui ni simu yangu? Ama shida ni Nini?

Yeye Mdogo Wangu pia amejaribu lakini pia bado naye inamsumbua

Naomba Msaada kwa yeyote aliyeweza kufanikiwa ili aweze kutusaidia, maana deadline nayo sio mbali,

Natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Kama kiongozi alivyosema hapo juu, Aamke saa sita mpaka asubuhi.

Mtandao ndo unakuwa umetulia, mchana watu ni wengi wanatuma maombi.
 
Habari wakuu poleni na majukumu

Niende moja kwa moja kwenye madam kama ilivyoainishwa hapo Juu

Nina siku ya 3 Leo Kila nikijaribu Kumsaidia Mdogo Wangu kuomba hizi Nafasi za ajira zilizotangazwa na Jeshi la zimamoto inashindikana,

Maana hata log in / sign up inagoma kufunguka, sasa sijui ni simu yangu? Ama shida ni Nini?

Yeye Mdogo Wangu pia amejaribu lakini pia bado naye inamsumbua

Naomba Msaada kwa yeyote aliyeweza kufanikiwa ili aweze kutusaidia, maana deadline nayo sio mbali,

Natanguliza shukrani zangu za dhati
Kawaida server zao huwa zinakuwa busy wakati kama huu jaribu usiku kukiwa kumetulia
 
Kama kiongozi alivyosema hapo juu, Aamke saa sita mpaka asubuhi.

Mtandao ndo unakuwa umetulia, mchana watu ni wengi wanatuma maombi.
Leo itakuwa assignment yangu hii, Nitakesha
 
Wakuu nikifika kwenye academic qualification inaniletea hayo maandishi unexpected error occured toka asubuh mpaka saa 9 usiku hapa ninavoandika, mwenyee kujua shida inaweza kuwa nini
Screenshot_20250226-034903.jpg
 
Kuna mtu kasababisha😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna mtu kasababisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna mtu kasababisha😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna mtu kasababisha
 
Nimefanikiwa kwa mbinde sana, e-GA wasaidieni Jeshi la Zimamoto Server zao zimezidiwa sana, bando lote linaisha kwa kuomba ajira 😥
1000199416.jpg
 
Nimefanikiwa kwa mbinde sana, e-GA wasaidieni Jeshi la Zimamoto Server zao zimezidiwa sana, bando lote linaisha kwa kuomba ajira [emoji26]View attachment 3250383
Mkuu umewezaje, mimi kwangu hapo kwenye kuweka academic qualifications nikijaza index namba na mwaka pale chini kweny fetch pana load then panaandika unexpected error occured kwako haikuleta hivi? au kuna kitu nakosea mimi
 
Mkuu umewezaje, mimi kwangu hapo kwenye kuweka academic qualifications nikijaza index namba na mwaka pale chini kweny fetch pana load then panaandika unexpected error occured kwako haikuleta hivi? au kuna kitu nakosea mimi
Ume update My Profile, zile habari za single cjui, disability n.k
 
Back
Top Bottom