Zero Bank
Member
- Feb 23, 2014
- 6
- 1
ni kweli kabisa ata mimi nimekesha bila mafanikio tena kwa kutumia laptop computerJana siku nzima mpaka usiku nimetumia PC lakini sijafanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli kabisa ata mimi nimekesha bila mafanikio tena kwa kutumia laptop computerJana siku nzima mpaka usiku nimetumia PC lakini sijafanikiwa
zali tu maana natumia computer lakini sijafanikiwaKwangu ilikubal mkuu
Tumia computer
Kweli kabisa sehemu ya fetch inazingua ata kwenye submit of other qualifications ni hivyo hivyo. Ukibahatika inakuwa ni kama zali, simu zao pia azipokelewi.Kweli kabisa maana siku kadhaa nyuma mtandao ulikua fresh kiasi pale kwenye kufetch matokeo ya kidato cha 4 ila kwa sasa hakuna kitu mtu unakesha na mtandao unatoka bilabila
Ebu nisaidieMwenye shida ya kufanya maombi nicheki nikusaidie
we #acehood we unapitia kwenye lan au mtandao wa kawaida na PC zetu hizi hizi kwa maana tumehustle sana lakini hatujatoboaMwenye shida ya kufanya maombi nicheki nikusaidie
Umeishia wapi mpaka sahz?Ebu nisaidie
Umefanyaje kupata matokeo ya kidato Cha nne
kwangu bado sijafanikiwa kwenye fetch results, please helpUmeishia wapi mpaka sahz?
Nadhani tatizo sio mtandao, tatizo lipo kwenye mfumo nadhani kuna marekebisho walifanya ndio yanazuia kuvuta hizo taarifa, Nadhani watengenezaji wa mfumo wangeangalia shida iko wapi. Pia server zimezidiwaKweli kabisa sehemu ya fetch inazingua ata kwenye submit of other qualifications ni hivyo hivyo. Ukibahatika inakuwa ni kama zali, simu zao pia azipokelewi.
Sehemu ya personal information wameongeza sehemu ya namba ya NHIF sidhani kama kulikua na ulazima wa kuomba hiyo namba, upo sahihi nahisi kuna marekebisho walifanya matokeo yake ndo wameharibu mfumo mzima, yafaa watatue tatizo na kuongeza siku za maombiNadhani tatizo sio mtandao, tatizo lipo kwenye mfumo nadhani kuna marekebisho walifanya ndio yanazuia kuvuta hizo taarifa, Nadhani watengenezaji wa mfumo wangeangalia shida iko wapi. Pia server zimezidiwa
View attachment 3252595
Mbona wanafanya marekebisho siku zikiwa zimeisha?Sehemu ya personal information wameongeza sehemu ya namba ya NHIF sidhani kama kulikua na ulazima wa kuomba hiyo namba, upo sahihi nahisi kuna marekebisho walifanya matokeo yake ndo wameharibu mfumo mzima, yafaa watatue tatizo na kuongeza siku za maombi
Uliweza kuadd academic details leo usiku au?Jamani sio Kwa ubaya huu Mfumo utanigombanisha na Familia hapankwenye Academic Qualification nimepambana siku 3 mfululizo ngomw inagoma leo imekubali nikafika kwenye kuconfirm and save inaload afu inaniletea
Internal Saver Error nimepambana hadi jasho la Meno hapa
Fanyeni kuendelea network Iko sawaUliweza kuadd academic details leo usiku au?
Hapo kwenye kuadd education inagoma ila matokeo ishafetch vzr tu ya 4m4 na 6 sa kuadd upande wa bachelor inasumbuaFanyeni kuendelea network Iko sawa
Bado kwenye Academic Qualifications kujaza taarifa za chuo ngazi ya Certificatw na Diploma haikubali na hata ku save vyeti haikubali kusubmit. Pia upande wa button ya ku apply bado haikubali kusubmit.Fanyeni kuendelea network Iko sawa
Mi nimefanikiwa mkuu kumwombea mdogo wangu tena asubuhi hii hii baada ya kukesha usiku kuchaJamani sio Kwa ubaya huu Mfumo utanigombanisha na Familia hapankwenye Academic Qualification nimepambana siku 3 mfululizo ngomw inagoma leo imekubali nikafika kwenye kuconfirm and save inaload afu inaniletea
Internal Saver Error nimepambana hadi jasho la Meno hapa