Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 442
- 1,655
Mkuu sijaona option ya kuattach cheti cha form 4 au ikishafetch matokeo ni jua kwa juu cheti wanakiona?Hapo kwenye kuadd education inagoma ila matokeo ishafetch vzr tu ya 4m4 na 6 sa kuadd upande wa bachelor inasumbua