Huu mfumo bado haujakaa sawa kwani kuna mambo kadhaa yanapaswa kutafutiwa ufumbuzi.
Kwanza katika siku zilizopendekezwa au mara nyingi ukifungua mtandao huu speed au kasi ya ufungukaji ni ndogo hadi inakatisha tamaa sijui ni kasi ya inteneti iliyopo haikidhi mahitaji ya taasisi zinazojaza au mfumo tulionao wa 4G umeelemewa kiasi kwamba taasisi zote za serikali zinapojaza basi kasi inakuwa ndogo.
kuna haja wahusika wakalitazama hili.
Pili kuna kuwa na mkanganyiko wa muingiliano wa taasisi yaani unaweza fungua na kukuta majina ya watu usiowafahamu na details zao na wakati mwingine hata kazi zako usizione hii pia ni changamoto.
Nafikiri kuna haja zaidi ya kulitazama hili.
Kwanza katika siku zilizopendekezwa au mara nyingi ukifungua mtandao huu speed au kasi ya ufungukaji ni ndogo hadi inakatisha tamaa sijui ni kasi ya inteneti iliyopo haikidhi mahitaji ya taasisi zinazojaza au mfumo tulionao wa 4G umeelemewa kiasi kwamba taasisi zote za serikali zinapojaza basi kasi inakuwa ndogo.
kuna haja wahusika wakalitazama hili.
Pili kuna kuwa na mkanganyiko wa muingiliano wa taasisi yaani unaweza fungua na kukuta majina ya watu usiowafahamu na details zao na wakati mwingine hata kazi zako usizione hii pia ni changamoto.
Nafikiri kuna haja zaidi ya kulitazama hili.