Changamoto ni ipi hasa inayofanya vijana kusita kuoa au kuolewa?

Changamoto ni ipi hasa inayofanya vijana kusita kuoa au kuolewa?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Sasa hivi watu wengi, wake kwa waume wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50 bado hawajaoa wala kuolewa.

Na ukiwaangalia ama kuzungumza nao kuhusu kuoa au kuolewa, wanasema wazi wazi kabisa kwamba, jambo hilo bado sio kipaumbele, na haifahamiki kipaumbele kwenye maisha yao nini, mwingine hana mtoto, hana gari, wala koploti cha ardhi, sasa sifahamu kipaumbele chao huwa ni nini na watatimiza lini wakiwa pekeyao ama la....

Ni kipi hasa kikwazo cha watu hawa kujizuia kuoa au kuolewa mapema?
 
Naandika pointi
tapatalk_1720538258582.jpeg
 
Points ni zile zile

Uhuni umekuwa wa kutosha....sio jinsia KE sio jinsia ME,kila mtu hamuamini mwenzake(Hofu ya kugongewa)
Upatikanaji wa urahisi wa huduma,wenyewe mnasema kama maziwa unapata kwanini ununue ng'ombe mzima
 
Sasa hivi watu wengi, wake kwa waume wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50 bado hawajaoa wala kuolewa.

Na ukiwaangalia ama kuzungumza nao kuhusu kuoa au kuolewa, wanasema wazi wazi kabisa kwamba, jambo hilo bado sio kipaumbele, na haifahamiki kipaumbele kwenye maisha yao nini, mwingine hana mtoto, hana gari, wala koploti cha ardhi, sasa sifahamu kipaumbele chao huwa ni nini na watatimiza lini wakiwa pekeyao ama la....

Ni kipi hasa kikwazo cha watu hawa kujizuia kuoa au kuolewa mapema?
Shida IPO kuanzia kwny mifumo ya maisha. Hatuna mifumo sahihi inayomuandaa kijna kufika umri flani awe tayri kaoa kuanzia masuala ya kiuchumi..mfno Anglia wenzetu nchi za mbele kjana umri miaka 20+tayari ana mke na mtoto kwakuwa waliandliwa mifumo kuanzia wadogo ya kiuchumi na kujitgemea kuanzia akiwa na miaka 18 tu. Hiyo ni tofauti na sisi huku
 
gentleman,
sijauliza causes of maji maji war of 1905-1907🤓
mkuu ndio hizo hizo, ukizichambua utakuta ndio hizo hizo.

tuanze na:

1. Land alienation, ukioa hata nyumba uliyoipambania pekee yako siku unaniacha mtagawana, unanyang'anywa cha kwako, uhuru wako unapokuwa

2. Forced labour
unakuwa subjected kuhakikisha unaprovide mahitaji yake utake usitake awe na hela asiwe na hela, lakini pia utawajibika kumridhisha kingono maana ukishindwa hapo utasaidiwa inauma sana.

3. Exploitation
kataa ndoa gang wamesimamia hapa

mkuu ukitafakari kwa kina point ni hizo hizo 😂😂😂😂
 
Sasa hivi watu wengi, wake kwa waume wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50 bado hawajaoa wala kuolewa.

Na ukiwaangalia ama kuzungumza nao kuhusu kuoa au kuolewa, wanasema wazi wazi kabisa kwamba, jambo hilo bado sio kipaumbele, na haifahamiki kipaumbele kwenye maisha yao nini, mwingine hana mtoto, hana gari, wala koploti cha ardhi, sasa sifahamu kipaumbele chao huwa ni nini na watatimiza lini wakiwa pekeyao ama la....

Ni kipi hasa kikwazo cha watu hawa kujizuia kuoa au kuolewa mapema?
ungemuuliza mwigulu na mama anaupiga mwingi ilo swali
 
Back
Top Bottom