Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
Unemployment
Unemployment
Unemployment
Unemployment
Unemployment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mamb yalikuwepo enzi enzi uhuni na Upatikanaji wa huduma, sijui ugumu wa maisha, sema sababu ni moja sasa watu tuko huru, zamani kijana ke au me alikuwa Mali ya jamii, hivyo umri ukifika jamiii ilikuwa inakuamulu, yaani tulikuwa tuko under mila na desturi, muunganiko wa kikoo na familia pia ulikuwa mkubwa, ukilinganisha na leo, kwa kifupi haya ni madhara ya mila na desturiPoints ni zile zile
Uhuni umekuwa wa kutosha....sio jinsia KE sio jinsia ME,kila mtu hamuamini mwenzake(Hofu ya kugongewa)
Upatikanaji wa urahisi wa huduma,wenyewe mnasema kama maziwa unapata kwanini ununue ng'ombe mzima
Aaaah kumbe mwanaume 😄😄huenda umepotea jukwaa mama 🐒
huku ni kwa watu wazima tu, me na ke wa umri kati miaka 40-50, watoto hawaruhusiwi, umeskiaee?
haya,
mrudishie mama simu yake?
Ni kweli kabisa, ndoa nyingi ni kama zimekufa vile, na nyingi zimevunjika. Watu wengi wanaishi kwenye ndoa za mateso kwa hiyo vijana wanaona kuingia huko ni kupoteza au kujiumiza. Wapenzi kuuana au kukoseana heshima etc.sure,
mafarakano na mitifuano ya ndoa za sasa imewatisha sana vijana kuoa dah!
point nzito ya maana sana hii 👊💪
Sawa sawa,Mambo ya watu kuoa au kutokuolewa yanakuwashia nini wewe?ndiyo mama![]()
Yamkini zikawepo sababu nyingi ila kwa leo nakupa sababu hii.Sasa hivi watu wengi, wake kwa waume wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50 bado hawajaoa wala kuolewa.
Na ukiwaangalia ama kuzungumza nao kuhusu kuoa au kuolewa, wanasema wazi wazi kabisa kwamba, jambo hilo bado sio kipaumbele, na haifahamiki kipaumbele kwenye maisha yao nini, mwingine hana mtoto, hana gari, wala koploti cha ardhi, sasa sifahamu kipaumbele chao huwa ni nini na watatimiza lini wakiwa pekeyao ama la....
Ni kipi hasa kikwazo cha watu hawa kujizuia kuoa au kuolewa mapema?
Sijaona cha kujifunza hapaYamkini zikawepo sababu nyingi ila kwa leo nakupa sababu hii.
Kwa karne ya sasa wanaume na wanawake ni wachache na hawa ndio aidha huingia kwenye ndoa au hujipanga kimaisha ili kuingia kwenye ndoa. Watu hawa hua na wenza wao au unaweza kusema wachumba na wanakua na malengo ya baadae kwa ajili ya kuishi pamoja kwa kufuata misingi ya kufunga ndoa.
Ukitoka kwenye hilo kundi kuna ambao hawaeleweki wao ni wanaume au wanawake, na wanawake kama wanaume. Hili ni kundi hatari ambao kwa kiasi kikubwa husingizia ugumu wa maisha, wanaona kuoa au kuolewa ni adhabu, wanapenda sana maisha ya kuishi jinsia moja gheto, wanaona ni fahari maisha ya kujipikia (hapa utakuta kama ni jinsia ya kiume anasema sasa najua kupika chakula kitamu nioe kwa nini)😂😂😂. Nadhani haya kwa kila mwanajamii hususani Tanzania ameshashudia haya.
Itambulike kuwa mwanaume anapokua na mapungufu (hapa namaanisha kuna mambo asiyoweza kufanya kama mwanaume hapo humlazimisha kuwa na msaidizi). Vivyo hivyo kwa mwanamke pia inapofikia kipindi fulani anahitaji kupata akili ya ziada ambayo itamwongoza (ambaye ni mume).
Kwa leo imetosha😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏
Wewe ulitaka ujifunze nini?😂😂S
Sijaona cha kujifunza hapa
Ukurasa mkubwa kuliko madini ya mahusianoWewe ulitaka ujifunze nini?😂😂
Sawa nimeshaelewa ulichotaka kujifunza, wakati mwingine nitagusia hicho ulichohitaji.🙏🙏🙏Ukurasa mkubwa kuliko madini ya mahusiano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Points ni zile zile
Uhuni umekuwa wa kutosha....sio jinsia KE sio jinsia ME,kila mtu hamuamini mwenzake(Hofu ya kugongewa)
Upatikanaji wa urahisi wa huduma,wenyewe mnasema kama maziwa unapata kwanini ununue ng'ombe mzima