dah umeongea kwa hisia kali uchungu mingi sana aise madam.
inasikitisha sana 🐒
by the way,
I can confirm to you without fear of contradictions kwamba mwanaume yeyote anaekuomba sundrundru eti afanye kitu kwenye kijambizi chako, hakupendi wala hataki uwe mchumba wala mke wake baadae...
in short hana future na wewe, he is just using u na atembee mbele mwendo wa ngiri 🐒
Jambo la Muhimu sana,
Mshirikishe Mungu nia yako ya kutafuta mwenza mwema wa maisha yako.
Halafu usijifungie ndani, nenda kwenye nyumba za ibada ukamuombe na kishiriki ibada na wengine, shiriki, jumuiya, mihadhara, seminar na warsha na vijana wenzako, yupo miongoni mwao anakutafita pia,
Nenda huko Mungu akawakutanishe na mfunge ndoa muanze maisha...
Mungu akubariki sana,
by the way,
unapatikana wap tafadhali mama 🐒