Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ni zile zileSasa hivi watu wengi, wake kwa waume wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50 bado hawajaoa wala kuolewa.
Na ukiwaangalia ama kuzungumza nao kuhusu kuoa au kuolewa, wanasema wazi wazi kabisa kwamba, jambo hilo bado sio kipaumbele, na haifahamiki kipaumbele kwenye maisha yao nini, mwingine hana mtoto, hana gari, wala koploti cha ardhi, sasa sifahamu kipaumbele chao huwa ni nini na watatimiza lini wakiwa pekeyao ama la....
Ni kipi hasa kikwazo cha watu hawa kujizuia kuoa au kuolewa mapema?
Ukiona mwanaume anasema ndoa si kipaumbele chake basi ni either bado hajasimama kiuchumi au hajapata mwanamke anaeaona ni sahihi kumuoa. Ukiona mwanamke anasema ndoa sio kipaumebele chake maana yake bado anahitaji uhuru wa kuendelea kufanya anasa na kuwa na mahusiano mengi bila kubanwa.Sasa hivi watu wengi, wake kwa waume wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50 bado hawajaoa wala kuolewa.
Na ukiwaangalia ama kuzungumza nao kuhusu kuoa au kuolewa, wanasema wazi wazi kabisa kwamba, jambo hilo bado sio kipaumbele, na haifahamiki kipaumbele kwenye maisha yao nini, mwingine hana mtoto, hana gari, wala koploti cha ardhi, sasa sifahamu kipaumbele chao huwa ni nini na watatimiza lini wakiwa pekeyao ama la....
Ni kipi hasa kikwazo cha watu hawa kujizuia kuoa au kuolewa mapema?
Wamejijengea uwoga ,kutkana Na Mifano ya wanandoa wengi kuachana.Sasa hivi watu wengi, wake kwa waume wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50 bado hawajaoa wala kuolewa.
Na ukiwaangalia ama kuzungumza nao kuhusu kuoa au kuolewa, wanasema wazi wazi kabisa kwamba, jambo hilo bado sio kipaumbele, na haifahamiki kipaumbele kwenye maisha yao nini, mwingine hana mtoto, hana gari, wala koploti cha ardhi, sasa sifahamu kipaumbele chao huwa ni nini na watatimiza lini wakiwa pekeyao ama la....
Ni kipi hasa kikwazo cha watu hawa kujizuia kuoa au kuolewa mapema?
Kabisa, mnabanduana hovyo mpa vinyeo mara kusagana, mnatukata stim.kwamba kuna mtu sehemu kakukosesha hamu ya kuoa,dah 🐒
Possibly kabisa 🐒Ukiona mwanaume anasema ndoa si kipaumbele chake basi ni either bado hajasimama kiuchumi au hajapata mwanamke anaeaona ni sahihi kumuoa. Ukiona mwanamke anasema ndoa sio kipaumebele chake maana yake bado anahitaji uhuru wa kuendelea kufanya anasa na kuwa na mahusiano mengi bila kubanwa.
nawasikitikia vijana wa kiume wanaotamani sundrundru za wadada na vijana wa kike wanaokubali kuingiliwa kwenye vijambizi vyao dah 🐒Kabisa, mnabanduana hovyo mpa vinyeo mara kusagana, mnatukata stim.
Amina, Kawashauri wenzio waache kutuharibia jamii bhana.nawasikitikia vijana wa kiume wanaotamani sundrundru za wadada na vijana wa kike wanaokubali kuingiliwa kwenye vijambizi vyao dah 🐒
hiyo ni hatua mbaya sana ya ufirauni na kujikatia tamaa.
Mwenyezi Mungu awaepushe vijana na mazingira hayo...
point nyingine nzito na ya maana sana hiyo ya muda mwingi shule 👊💪Binafsi ninaona kuna mifumo mbalimbali ambazo tumejengewa haswa kwenye dini,serekali kwa maana ya mfumo wa elimu,jamii vilevile,ambazo zinamfanya kijana apoteze muda mwingi bila kutafakari maisha ya kujitegemea hivyo mpaka awe na umri wa miaka 25+ hapo aanze kujitafta anajikuta yupo 30 kuendelea hali hii ya ukata anajikuta ameshajikatia tamaa kwasababu alichowekeza"mfano elimu"mda huwo hajaona manufaa yake hivyo akili na saikolojia inajenga uwoga wa maisha,ukizingatia maisha ya sikuizi kila kitu ni garama haswa kwa dada zetu
Changamoto Ilikuwa dini now nitajitahid kusolve isiniathir Tena km itatokea
Pole sana...usivunjike moyoChangamoto Ilikuwa dini now nitajitahid kusolve isiniathir Tena km itatokea
History ni maisha halisi daaah 🙌 😅1. Land alienation
2. Forced labour
3. Exploitation
4. Destruction of culture
5. Taxation
🤣🤣🤣1. Land alienation
2. Forced labour
3. Exploitation
4. Destruction of culture
5. Taxation
kwani uongo?😂😂